Ngamanya Kitangalala
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 501
- 1,214
Binafsi leo nimepata fursa ya kufuatilia kwa njia ya television sherehe za uapisho wa Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda huko jijiji Kampala.
Kuna jambo binafsi limeniacha na maswali kadhaa nikijiuliza.
Wakati Rais Museveni anatoa utambulisho kwa wakuu wa nchi (Head of state) walioudhuria sherehe hizo, majina ya wakuu wa nchi wenye jinsia ya kike, walikuwa ndio wa mwisho kabisa kutambulishwa kwenye orodha ya wakuu wa nchi, alianza mheshimiwa Rais wetu Samia Suluhu Hassan kisha wa mwisho kabisa akawa Rais Sahle Work Zewde wa Ethiopia
Swali ninalojiuliza, je kwenye seniority ya wakuu wa nchi, jinsia huwa ni kigezo kimojawapo au its just concidence tu inetokea majina hayo kuwa mwishoni kwenye orodha ya wakuu wa nchi?
Kuna jambo binafsi limeniacha na maswali kadhaa nikijiuliza.
Wakati Rais Museveni anatoa utambulisho kwa wakuu wa nchi (Head of state) walioudhuria sherehe hizo, majina ya wakuu wa nchi wenye jinsia ya kike, walikuwa ndio wa mwisho kabisa kutambulishwa kwenye orodha ya wakuu wa nchi, alianza mheshimiwa Rais wetu Samia Suluhu Hassan kisha wa mwisho kabisa akawa Rais Sahle Work Zewde wa Ethiopia
Swali ninalojiuliza, je kwenye seniority ya wakuu wa nchi, jinsia huwa ni kigezo kimojawapo au its just concidence tu inetokea majina hayo kuwa mwishoni kwenye orodha ya wakuu wa nchi?