Kwani Mabomu yanalipuka kila siku!! Watakuja tu. Dawa kubwa Kaa Kaunta alafu kula jiwe hakuna kucheka na mtu
nyie mnawalemaza.....iweje mtu huna pesa aende bar kuomba omba..ndio maana wanashkishwaga ukuta watu wa namna hiyo.....hio ipo sana kwa wachaga mtu anakulazimisha umlipie biaMkuu umetoka bongo muda mrefu nini....kuna siku nilijifanya kukaa counter...akaja jamaa na mkewe...wakaniona jamaa akawa anaagiza na muhudumu akaja niambia kuna ile couple pale wamekunywa bia 16 na mguu wa mbuzi...nilizima ujanja..jamaa unawajua ukizingatia umetokea mamtoni ilibidi nilipe tu....
nyie mnawalemaza.....iweje mtu huna pesa aende bar kuomba omba..ndio maana wanashkishwaga ukuta watu wa namna hiyo.....hio ipo sana kwa wachaga mtu anakulazimisha umlipie bia
nyie mnawalemaza.....iweje mtu huna pesa aende bar kuomba omba..ndio maana wanashkishwaga ukuta watu wa namna hiyo.....hio ipo sana kwa wachaga mtu anakulazimisha umlipie bia
Kwani Mabomu yanalipuka kila siku!! Watakuja tu. Dawa kubwa Kaa Kaunta alafu kula jiwe hakuna kucheka na mtu
nyie mnawalemaza.....iweje mtu huna pesa aende bar kuomba omba..ndio maana wanashkishwaga ukuta watu wa namna hiyo.....hio ipo sana kwa wachaga mtu anakulazimisha umlipie bia
Hahahaha Yo Yo balaa....jamaa alikuwa mchagga na mkewe hahahaha !
Yaani wangeosha glasi za bar....kwa kweli....hata kama ni wazee wa nyumbani na wameniona pale nakamata moja mbili....eti na mguu wa mbuzi.
hahahahah hii kali Mbagala jeshini kuna nini kwani ama Bomu laweza mlipukia? Wapiga mizinga mazee hawaangalii...wanatia timu....!
namuonea huruma huyo dogo anayekojoa, dah! si anaumia sana?
Mkuu umetoka bongo muda mrefu nini....kuna siku nilijifanya kukaa counter...akaja jamaa na mkewe...wakaniona jamaa akawa anaagiza na muhudumu akaja niambia kuna ile couple pale wamekunywa bia 16 na mguu wa mbuzi...nilizima ujanja..jamaa unawajua ukizingatia umetokea mamtoni ilibidi nilipe tu....
Du ,wewe Masanilo nimeamini ni ALCOHOLIC kweli,
na AVATAR yako inaonyesha!!!
Ungezuga unakwendaToliet, halafu mzee unachapa
mwendo kama anavyofanyaga mwenzio
MAKONYAGI!!
Ha hahaaaa!!