Hata Sina kinyongo
Senior Member
- May 16, 2020
- 118
- 280
Haijawahi kutokea!
Huku kwetu wilaya ya Kishapu mkoa wa Shinyanga bei ya mazao hususan mahindi ni yakuridhisha kwa kweli.
Bei ya debe moja kwa mfano la mahindi ni tsh 5000 ilhali kabla ilikuwa ni tsh elfu ishirini!
Kilichobaki ni shukrani zetu kwa Mwenyezi Mungu kwa neema hiyo.
Huko kwenu vipi hali ya mazao?
Mungu ibariki Tanzania na timu ya Yanga.
Huku kwetu wilaya ya Kishapu mkoa wa Shinyanga bei ya mazao hususan mahindi ni yakuridhisha kwa kweli.
Bei ya debe moja kwa mfano la mahindi ni tsh 5000 ilhali kabla ilikuwa ni tsh elfu ishirini!
Kilichobaki ni shukrani zetu kwa Mwenyezi Mungu kwa neema hiyo.
Huko kwenu vipi hali ya mazao?
Mungu ibariki Tanzania na timu ya Yanga.