Rais hatakiwi kuogopwa, yeye ni mfanyakazi wetu tunamlipa atufanyie sisi kazi anatakiwa achuje ushauri mzuri achukue usonatija apotezee vijineno vidogovidogo havitakiwi kumkwaza ataweka wangapi jela!? Anatengeneza taifa la manunda na mwisho wake ni mbaya sana, walisemwa manabii vibaya sembuse yeye!!