LGE2024 Kwimba: Mkuu wa Wilaya awataka Wagombea kushangilia ushindi kwa ustaarabu

LGE2024 Kwimba: Mkuu wa Wilaya awataka Wagombea kushangilia ushindi kwa ustaarabu

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610

Mkuu wa Wilaya ya Kwimba, Ng'wilabuzu Ludigija, amewapongeza wananchi wa wilaya hiyo kwa kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji kwa amani na utulivu, bila kuzusha fujo yoyote.

Aidha, ametoa wito kwa wananchi ambao wagombea wao wameshinda, kusherehekea kwa ustaarabu, ili Kwimba iendelee kuwa salama.
 
Back
Top Bottom