double R JF-Expert Member Joined Oct 6, 2011 Posts 2,399 Reaction score 2,541 Apr 5, 2017 #1 Jana mdogo wangu kaleta hii soda. Akawa ananishawishi niionje na akanieleza kwamba sio kama soda za tonic water nyingine. Hii ni tamu. Nikaona niisome ingredients zake. Nkatekewa kuona kwinini ipo. Na hapo ipo kundi la antioxidants na kiwango chake wameandika ni 8mg/l. Nimejiuliza maswali kadhaa lakini kila jibu linazaa kwa nini. Kwa nini kwinini kwenye soda? Najua humu watakuwepo hata hao wanaohusika na utengenezaji wa soda huko cocacola na wenye uelewa tafadhali mnifungue macho.
Jana mdogo wangu kaleta hii soda. Akawa ananishawishi niionje na akanieleza kwamba sio kama soda za tonic water nyingine. Hii ni tamu. Nikaona niisome ingredients zake. Nkatekewa kuona kwinini ipo. Na hapo ipo kundi la antioxidants na kiwango chake wameandika ni 8mg/l. Nimejiuliza maswali kadhaa lakini kila jibu linazaa kwa nini. Kwa nini kwinini kwenye soda? Najua humu watakuwepo hata hao wanaohusika na utengenezaji wa soda huko cocacola na wenye uelewa tafadhali mnifungue macho.
Ngozi Joram JF-Expert Member Joined Sep 9, 2016 Posts 662 Reaction score 545 Apr 6, 2017 #2 Afadhali uliona ngoja wakuje wataalam
Ngozi Joram JF-Expert Member Joined Sep 9, 2016 Posts 662 Reaction score 545 Apr 6, 2017 #3 Lkn nadhani sio issue sana maana hata cocacola soda pendwa ina cocaine material ila sidhani kama ni zile wanazopewa mateja
Lkn nadhani sio issue sana maana hata cocacola soda pendwa ina cocaine material ila sidhani kama ni zile wanazopewa mateja