Hapa umenena vyema sana ......Sikonge Upo hapo?
Ndugu zangu wanaJF. Kwanza, napenda niwathibitishie wote kuwa MWAKALINGA SI FISADI! JAMANI SI FISADI HATA KIDOGO! Ni kijana wa Tanzania anayeishi Ulaya ambaye anatumia haki yake ya kidemokrasia kurejea nyumbani na kugombea ubunge, PERIOD! Anahitaji tumuunge mkono badala ya kumkatisha tamaa! Mimi ni mwandishi wa habari, nimekuwa karibu sana na kundi lake la kampeni katika ziara yote aliyofanya ndani na nje ya Mkoa wa Mbeya, hususan Kyela.
Tatizo linalomkabili Mwakalinga mpaka wengine wanamfikiria kuwa Fisadi ni ukaribu wake na campaign team ya Mwakipesile, ile ile ambayo Mwakyembe aliibwaga mwaka 2005! Kazi tuliyonayo wenzake ni kumtoa huko kubaya alikojichimbia, si kuzuri!
Mwakalinga anaelewa vema kuwa kabla ya kuja kwake Mwakipesile amefanya ziara ya Wilaya nzima kumfagilia njia. Hivyo si vema kwa Mwakalinga kumthibitisdhia kila mtu kuwa yeye ni mtu wa Mwakipesile! Mwakalinga ameishi kwa muda mrefu mno Ulaya hivyo hajui kuwa Mwakipesile ni mwanasiasa aliyepoteza ushawishi na mvuto wa kisiasa wilayani Kyela. Hivyo basi kwa kujihusisha sana na Mwakipesile, anajihusisha na matatizo ya Mwakipesile! Hali hii inamsaidia sana Mwakyembe kupata sympathy ya watu dhidi ya kundi ambalo wanaamini limekuwa likimsakama mbunge huyo machachari tangu 2005 kwa kuwa alimuunga mkono kaka ya Mwandosya wakati wa kinyang'anyiro cha Urais. Mwakipesile na wenzake akina Mzee Apson Mwang'onda na Mulla, hawaelewi kuwa alichofanya Mwakyembe ni heshima kwa Rungwe na Kyela! Wao wanadhani ni kosa, hivyo apigwe vita! Ni kukosa upeo mzuri wa siasa kwa Mwakalinga kuingia kwenye kundi hilo ambalo limefunga ndoa na mafisadi akina Lowassa, Chenge, Karamagi na Rostam Aziz!
Mwakalinga tumemweleza, lakini haelewi kitu kuwa mwezi wa nne mwaka huu Lowassa alikuja Kyela, akalala nyumbani kwa Mwaitenda, rafiki mkubwa wa Mwakipesile. Kyela wanajua!
Hivyo basi, huyu kijana si Fisadi, ila kwa namna moja au nyingine na kwa bahati mbaya sana, Mafisadi wako karibu naye.
Unachanganyikiwa nini? hata Sumaye alitangaza kuwa atagombea urais kabla ya muda kuanza.lol sasa mbona mwanatuchanganya? si alikataa kuwa hakuwa huko kyela kwa ajili ya kuanza kampeni za chini chini? SteveD nafikiri atakuwepo eapoti...steveD say some dude...
Huyu Mwakalinga msanii tu,haeleweki hata kidogo,mara aseme hili mara lile.
Mwenzetu sijui huko kichaka gani? Kwa nini ukumkataa Aman Karume? Kwa nini ukutia veto kwa Bush junior?Mkuu,
Hayo majina mbona umechanganya hata haijulikani unaandika nini?
.Washikaji nipo Uwanja wa Ndege wa Mwalimu JK Nyerere kumsindikiza mwana JF mwenzetu, George Ambwene Mwakalinga, ambaye alikuwa Kyela kufanya vitu vyake vya kisiasa. Anaondoka sasa hivi na ndege ya Shirika la Ndege la Qatar kwenda London kupitia Doha. Ndege inaondoka sasa hivi(yaani saa saba na nusu).
Hivi majuzi jina la Mwakalinga lilitawala vyombo vya habari nchini kwa kuwania kiti cha ubunge cha Kyela kinachoshikiliwa na Mbunge maarufu nchini, Dk. Harrison Mwakyembe. Anatarajiwa kufika Doha jioni na boarding pass yake inasema ataondoka Doha saa sita usiku hadi Heathrow, London ambapo mshikaji ataingia mapema alfajiri kesho.
Mimi nilimpokea Mwakalinga alipoingia nchini wiki mbili zilizopita na nilikuwa miongoni mwa wale waliomsindikiza katika kujinadi kwa viongozi na wananchi wa Kyela. Ni wajibu wangu vilevile kuwaeleza kuwa anaondoka!
Kalengama
Atakuja na kuanza kubisha ukweli ambao jamaa kaandika naona ni ukweli mtupu.
What is so big with this UBUNGE!
Will this Mwakalinga be so different mpaka tuanze kumjadili hapa! Angalau Mwakyembe tunamjua (alimtoa Lowasa nk!) Sasa huyo Mwakalinga wako, ni hili la kuwa anatoka UK na kuwa anamiliki hoteli!
Hivi jimbo ni Kyela tu! What is so special with Kyela! Si anaweza kugombea sehemu nyingine ya Tanzania na akashinda tu, kama ubunge ndio maisha!
Please, there are better things to discuss than this!
alimtoa Lowassa wapi?
Kalengamab nimekupata na nimekuelewa na umekiri wazi wazi kuna connection ya wazi kati ya Mwakipesile na EL sasa na huyu EL anajulikana kama fisadi sasa huoni kama Mwakalinga nae anajuumuka na hao mafisadi maana wanamsafishia njia unataka tumuweke wapi au kundi lipi?
Kule Monduli maandalizi yanaendelea ya kumng'a Mzee wa Richard Monduli baada ya kushindwa kujiosha/kuoshwa juzi Bungeni.mhhhh kule Monduli....
Calculated move....
.
Tunakushukuru sana kalengama.
Tunakutakia afya njema mwakalinga uje utukomboe wanakyela dhidi ya huyu chizi mpenda makuu.Kila msafara wake anaongozana na wandishi wa habari.
Labada ni wakumbushe kidogo vitu ambavyo mwakalinga kawafanyia wananchi wa kyela.
Anamiliki Hotel kubwa ambayo vijana wa kyela wanameajiliwa hapo.Anamiliki radio(Kyela Fm radio) ambayo inasikika mkoa wa mbeya wote.Ana miliki supermarket kubwa sana ambayo ni kioo cha wana kyela na wengi wameajiliwa hapo.
Ana ukumbi wa kisasa ambao ni full kipupwe.
Pumbavu Nsesi upo?
.
Tunakushukuru sana kalengama.
Tunakutakia afya njema mwakalinga uje utukomboe wanakyela dhidi ya huyu chizi mpenda makuu.Kila msafara wake anaongozana na wandishi wa habari.
Labada ni wakumbushe kidogo vitu ambavyo mwakalinga kawafanyia wananchi wa kyela.
Anamiliki Hotel kubwa ambayo vijana wa kyela wanameajiliwa hapo.Anamiliki radio(Kyela Fm radio) ambayo inasikika mkoa wa mbeya wote.Ana miliki supermarket kubwa sana ambayo ni kioo cha wana kyela na wengi wameajiliwa hapo.
Ana ukumbi wa kisasa ambao ni full kipupwe.
Pumbavu Nsesi upo?
.
Tunakushukuru sana kalengama.
Tunakutakia afya njema mwakalinga uje utukomboe wanakyela dhidi ya huyu chizi mpenda makuu.Kila msafara wake anaongozana na wandishi wa habari.
Labada ni wakumbushe kidogo vitu ambavyo mwakalinga kawafanyia wananchi wa kyela.
Anamiliki Hotel kubwa ambayo vijana wa kyela wanameajiliwa hapo.Anamiliki radio(Kyela Fm radio) ambayo inasikika mkoa wa mbeya wote.Ana miliki supermarket kubwa sana ambayo ni kioo cha wana kyela na wengi wameajiliwa hapo.
Ana ukumbi wa kisasa ambao ni full kipupwe.
Pumbavu Nsesi upo?
- Sijaziona hizo dataz so far za kunifanya niamini kwamba George ni fisadi, na siwezi kuita mtu fisadi bila kuwa na facts au dataz,
- kuandika ni haki ya kila mtu ila tatizo ni ukweli wa habari na hapa JF tuna sifa kubwa sana ya kuchambua ukweli na uongo. No matter what mjadala wa George utaishia kua wa hoja za masilahi ya wananchi wa Kyela, maana haya ya negative itakuja kuwa aibu sana huko mbele ya safari.
Respect and Out.
FMEs!
[/SIZE]
Ndio maana nikakukumbusha kuwa si kila kitu kinatokea Tanzania lazima ukione. Unakumbuka ulichosema kuhusu Masha hapa jamvini? na unakumbuka matokeo yake?
Usikimbie kwenye hitimisho kwenye issue ya George Mwakalinga. Inawezekana unadhani kuwa unamfahamu lakini naomba sana usikilize ushauri uliopewa na mzee Masanilo kuhusu hii issue huku naye akikukumbusha swala la Masha.
Respect kwako pia mkuu,
Upande wangu na dataz zangu zaonyesha kuwa kampeni ya Mwakalinga inaendeshwa na kundi la Mwakipesile (mafisadi wa Kyela) na pia Kikwete na mtoto wake wanahusika kwenye michango ya bwana Mwakalinga.
Kwangu mimi, hakuna ufisadi wa wazi kama huu (unless ukikataa kuwa Kikwete na mtoto kazi yake kampuni la kifisadi la IMMA sio mafisadi).
Respect kwako pia ... na unakaribishwa muda wowote.