The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wazazi Taifa Ndg. Fadhil Maganya, amedai kutoridhishwa na utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mbeya, inayogharimu zaidi ya bilioni nne iliyojengwa kata ya Busale wilayani Kyela,na kuwataka Mkuu wa wilaya na Mkurugenzi kujitathmini.
Maganya ameeleza hayo baada ya kutembelea ujenzi wa shule hiyo akiwa siku ya pili ya ziara yake ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi CCM ya mwaka 2020-2025, ambapo amesema Serikali imetoa zaidi ya bilioni 4 lakini mradi huo hauonyeshi thamani ya fedha hizo katika utekelezaji.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Maganya ameeleza hayo baada ya kutembelea ujenzi wa shule hiyo akiwa siku ya pili ya ziara yake ya kukagua utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi CCM ya mwaka 2020-2025, ambapo amesema Serikali imetoa zaidi ya bilioni 4 lakini mradi huo hauonyeshi thamani ya fedha hizo katika utekelezaji.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025