Kyela: Polisi wazuia kufanyika kwa Mkutano Mkuu wa Chadema

Kyela: Polisi wazuia kufanyika kwa Mkutano Mkuu wa Chadema

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hii ndio habari mpya kati ya nyingi za uonevu dhidi ya Chadema zilizotufikia hivi punde .

Ambapo OCD amedai anazuia Mkutano huo uliopangwa kufanyika kwenye Hotel ya kisasa ya KASALA kwa vile hauna kibali , hata hivyo kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania , Polisi hawajawahi kupewa Mamlaka ya kutoa vibali vya vikao vya ndani vya vyama vya siasa , kinachotakiwa ni vyama vinavyokuwa na vikao vyao KUTOA TAARIFA KUHUSU VIKAO HIVYO KWA JESHI LA POLISI baaasi .

Jeshi_La_Polisi_Wilaya_Ya_Kyela_Limezuia_Mkutano_Mkuu_Wa_CHADEMA_Wilaya_Ya_Kyela_Uliokua_Ufany...jpg
 
HAO NI WALETA FUJO TU SASA KAMA HAWAKUTOA TAARIFA KWAPOLISI KWANINI WASIPIGWE KABISA
 
hiki chama cha magaidi kisichekewe hata kidogo lazima washughulikiwe bila huruma wasituchafulie Amani yetu.
bana mbavu mpaka watie adabu.
 
Hii ndio habari mpya kati ya nyingi za uonevu dhidi ya Chadema zilizotufikia hivi punde .

Ambapo OCD amedai anazuia Mkutano huo uliopangwa kufanyika kwenye Hotel ya kisasa ya KASALA kwa vile hauna kibali , hata hivyo kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania , Polisi hawajawahi kupewa Mamlaka ya kutoa vibali vya vikao vya ndani vya vyama vya siasa , kinachotakiwa ni vyama vinavyokuwa na vikao vyao KUTOA TAARIFA KUHUSU VIKAO HIVYO KWA JESHI LA POLISI baaasi .

View attachment 1916640
Mungu ibariki CHADEMA
 
Hii ndio habari mpya kati ya nyingi za uonevu dhidi ya Chadema zilizotufikia hivi punde .

Ambapo OCD amedai anazuia Mkutano huo uliopangwa kufanyika kwenye Hotel ya kisasa ya KASALA kwa vile hauna kibali , hata hivyo kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania , Polisi hawajawahi kupewa Mamlaka ya kutoa vibali vya vikao vya ndani vya vyama vya siasa , kinachotakiwa ni vyama vinavyokuwa na vikao vyao KUTOA TAARIFA KUHUSU VIKAO HIVYO KWA JESHI LA POLISI baaasi .

View attachment 1916640
Hawa Polisi wanahusikaje na mikutano tena ya ndani? IGP unalo la kujibu kwa wananchi usiwafanye mazuzu!!
Uwanja wa mpirabjana mbona hamkuzuia Umati ule!?
 
Hii ndio habari mpya kati ya nyingi za uonevu dhidi ya Chadema zilizotufikia hivi punde .

Ambapo OCD amedai anazuia Mkutano huo uliopangwa kufanyika kwenye Hotel ya kisasa ya KASALA kwa vile hauna kibali , hata hivyo kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania , Polisi hawajawahi kupewa Mamlaka ya kutoa vibali vya vikao vya ndani vya vyama vya siasa , kinachotakiwa ni vyama vinavyokuwa na vikao vyao KUTOA TAARIFA KUHUSU VIKAO HIVYO KWA JESHI LA POLISI baaasi .

View attachment 1916640
Kuna kitu mama anakitengeneza na atajutia siku si nyingi!
 
hiki chama cha magaidi kisichekewe hata kidogo lazima washughulikiwe bila huruma wasituchafulie Amani yetu.
bana mbavu mpaka watie adabu.
Nyinyi mnatuhumu ushahidi hamna lakni policcm wamethibitisha Kwa hamnza ni gaidi.

Anatokea ccm mlimfundisha kila aina ya ugaidi akauwa policcm japo aliuwa kidogo.

Sasa unasemaje.
 
Back
Top Bottom