Elections 2010 Kyela: Rhoda Mwamunyange atangaza nia kupitia CCM

Elections 2010 Kyela: Rhoda Mwamunyange atangaza nia kupitia CCM

mpuuzi

Member
Joined
May 29, 2010
Posts
99
Reaction score
17
11qpyj9.jpg
 
sikuelewi broo,huyo aliye kwenye picha ni nani?,na kwanini yatimie,nisidie plz
 
Mratibu wa Kitaifa wa Shirika la Kazi Duniani(ILO) Bi. Rhoda Mwamunyange (katikati) akitangaza nia yake ya kugombea Ubunge katika Jimbo la Kyela kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi. Jimbo hilo hivi sasa liko chini ya mheshimiwa Dkt Harrison Mwakyembe. Wengine kushoto ni Mpambe wa Rhoda na kulia ni Ofisa Habari Mwandamizi wa Idara ya Habari Mwirabi Sise.
 
maelezo mkuu, picha peke yake naona kama bado haijafikisha ujumbe. Au hii ni kwa wale wateule wachache?
 
maelezo mkuu, picha peke yake naona kama bado haijafikisha ujumbe. Au hii ni kwa wale wateule wachache?

Mratibu wa Kitaifa wa Shirika la Kazi Duniani(ILO) Bi. Rhoda Mwamunyange (katikati) akitangaza nia yake ya kugombea Ubunge katika Jimbo la Kyela kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi. Jimbo hilo hivi sasa liko chini ya mheshimiwa Dkt Harrison Mwakyembe. Wengine kushoto ni Mpambe wa Rhoda na kulia ni Ofisa Habari Mwandamizi wa Idara ya Habari Mwirabi Sise.
 
Mratibu wa Kitaifa wa Shirika la Kazi Duniani(ILO) Bi. Rhoda Mwamunyange (katikati) akitangaza nia yake ya kugombea Ubunge katika Jimbo la Kyela kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi. Jimbo hilo hivi sasa liko chini ya mheshimiwa Dkt Harrison Mwakyembe. Wengine kushoto ni Mpambe wa Rhoda na kulia ni Ofisa Habari Mwandamizi wa Idara ya Habari Mwirabi Sise.
Nimekupata mkuu,

Tnx!
 
nimetumwa na nani?

Mbona sijakuongelea wewe? Nimemwongelea huyo anayegombe ndugu yangu. Wapo wagombea wengi tu ila wenye dhamira isiyosurutishwa ni wachache sana. Kwa hiyo wengi wametumwa wakawatumia wakubwa wao. Je na huyo kwenye picha ni mmoja wao?
 
Jina lake halina extension, mfano Rhoda Mwamnyange-Asumwise(Macha)Masanja) nk nk au jina la Mwamunyange ndio lilo na uzito zaidi.
 
........Wamama mwaka huu wameamua, nimependa afro lako tu.Goooooooooo mummy go!!
 
Jina lake halina extension, mfano Rhoda Mwamnyange-Asumwise(Macha)Masanja) nk nk au jina la Mwamunyange ndio lilo na uzito zaidi.

Hana.Aliolewa, ndoa ikaenda mrama. Akaachana na mume. Akaachana na jina la aliyekuwa mume.Maana hakumzaa.Wanawake kama hawa bab kubwa.
 
Sasa mbona mnaanza mineno mbofumbofu? Mwacheni agombee si ndio mnayoiita domokrazia? ala!
 
Back
Top Bottom