Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Hicho unakijua wewe ungekiweka tu. Sio kila kitu najua.Mbona haujaweka kile kibanda cha million saba ?
Kwenye hilo jengo la Tanesco kuna kibanda cha mlinzi kimejengwa kwa milioni 7Hicho unakijua wewe ungekiweka tu. Sio kila kitu najua.
NdiyoCha mlinzi [emoji2][emoji2]
Hahahahahaha. Akina Zerro wanakimbizana na ugaidi fake wanaacha magaidi wa uchumi wetu wanafurahi maisha tu. Huu ni wizi.Kwenye hilo jengo la Tanesco kuna kibanda cha mlinzi kimejengwa kwa milioni 7
Gud maendeleo hayana chamaHii ndio nchi yetu ambayo inajali wananchi na kuwasogezea huduma. Hili ni jengo la Tanesco lenye thamani ya milioni 408. View attachment 1946723
Box mia na nusu inatosha .[150m]Tunapigwa sana. Kwa kawaida hapo ilitakiwa iwe ngapi?