la bill gate hili..........

Ukipewa lift humo ngangania kukaa mbele ili uwahi kufika,maaana nyuma ni mbali sana.
 

yeeeah,thats his car my dia.........it seems u know him saana.......to the extent thats u know all his house.
 

http://stevenroddy.com/blog/articles/bill-gates-house.html
When doing research be careful next time!!!
<input id="gwProxy" type="hidden"><!--Session data--><input onclick="jsCall();" id="jsProxy" type="hidden">
 
MAMBO YA FWEZA........unafikiri watu wanapenda starlet..........au vitzzzz tutafanyaje sasa.....

hahahahaaa!!!! sema wewe, nikisema mm watasema kwa vile una VX!!!....starlet.....utafikiri umekaa kwenye kigoda??!!
 
I like its sport shape although its too long for my taste...
 
Lakini mwisho wa siku ataishia kwenye kaburi sawa na wewe tu! Hata lingekuwa refu kama treni bado halimfanyi akwepe kifo!

Sasa hapa mbona sioni relationship ya mada? kufa kila mtu atakufa lakini kwa duniani kuna mtu atapigika na mwingine hatapigika na bado chance ya kwenda mbinguni ni sawa. Huwa nawaambia watu kuwa uwe tajiri au maskini kwenda mbinguni hakuangaliii unaweza ukapigika hapa na mbinguni ukakutana na moto wako. Hivyo mind you !
 
Lakini mwisho wa siku ataishia kwenye kaburi sawa na wewe tu! Hata lingekuwa refu kama treni bado halimfanyi akwepe kifo!

Mfa maji haishi kutapatapa yaani wewe starehe yako ni kifo tu. Acha mwenzio aponde life mambo ya kufa kwani nini walikufa mitume na manabii itakuwa sisi?
 
shape ya nyuma na mbele inafanana na CORVETTE......ingawa nilikuwa sijawahi kuona CORVETTE LIMOUSINE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…