La Chalz Sinza, ni Kijiwe cha makaka poa

jerry joshy

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2015
Posts
402
Reaction score
504
Ukimuonaa mwanaume anapendaa saana kwenda la chalz sinza ujue naye ni mtumiaji wa mtandao wa goti manake pale ndo soko lao kuu zamani ilijulikana kama lavico .....So kuwa makini sio kilaa bar ya kuingiaa mjini ukienda pale kwa waanaojuaa wanajua kuwa ww ndo wale wale usishngae unafatwaa uanze kutukana tukana ovyo ndo bucha lao lili.....!!
 
Cjui Kama ina uhakika na taarfa yako hii Coz Lachaz me hupendelea kukaa kwasbb kwanza kuna Madem wakali pale ni sehem ya kuwinda lkn pia ni kwasbb ya new location pale so watu weng hupapenda ila kuhusu mashoga naamin kla mahala huenda na kukaa wengne hukaa pale kwa kuwinda Madem..... fanya tena utafit halaf Uje na mifano hai
 
na ninaona watu wanaokunywa ni watu wenye akili zao sijui lkn kila mtu na anavyoona labda sbbu mm naingiaga mida ya usiku sana
Duh may b wenyej mtusaidie kwenye Hilo tusijeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…