jerry joshy
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 402
- 504
sinza shule ya msingi mapambano ....,nyt utakuta magari makali hatarIko sinza ipi mkuu nije nikusalimie?
Pale wanaunza kitu moto? ? Siendisinza shule ya msingi mapambano ....,nyt utakuta magari makali hatar
kumbe mwenyejiaisee yaan ww kwahyo na sisi ni madada poa tunaoenda kunywa
kiwanja cha nyumbani hikokumbe mwenyeji
Duuuuhhh....ushawah kuwaona kwankiwanja cha nyumbani hiko
toka nimeingia sijawahi ona kaka poaDuuuuhhh....ushawah kuwaona kwan
Nshaelewa sasa possibly mtoa mada.......toka nimeingia sijawahi ona kaka poa
Hicho kijiwe nakifahamu sio kizuri hata kidogo nafikiri hata mwenye bar ni shoga au lesbiansinza shule ya msingi mapambano ....,nyt utakuta magari makali hatar
na ninaona watu wanaokunywa ni watu wenye akili zao sijui lkn kila mtu na anavyoona labda sbbu mm naingiaga mida ya usiku sanaNshaelewa sasa possibly mtoa mada.......
Duh may b wenyej mtusaidie kwenye Hilo tusijeeeena ninaona watu wanaokunywa ni watu wenye akili zao sijui lkn kila mtu na anavyoona labda sbbu mm naingiaga mida ya usiku sana
ha ha ha njo usiogope mm nakaa apo nikishatoka mbali uko nakunywa mbili tatu naingia kulalaDuh may b wenyej mtusaidie kwenye Hilo tusijeeee