Hawa watu wanajuana, kama wewe huwajui huwezi dhania.uje bhana mm sijawahi ona kaka poa acha uoga
kwann usiku sana pana live band?na ninaona watu wanaokunywa ni watu wenye akili zao sijui lkn kila mtu na anavyoona labda sbbu mm naingiaga mida ya usiku sana
mm sijawahi ona live band, usiku sana kwa sababu tukiwa tunatoka sehemu zetu za kujidai tukipitia njia hiyo lazma tuingie tupate ata mbili tatu n pazuri panashawishi.kwann usiku sana pana live band?
inawezekana mkuuHawa watu wanajuana, kama wewe huwajui huwezi dhania.
aiseee sijawahi kukaa hapomm sijawahi ona live band, usiku sana kwa sababu tukiwa tunatoka sehemu zetu za kujidai tukipitia njia hiyo lazma tuingie tupate ata mbili tatu n pazuri panashawishi.
jaribu siku moja n pazuri na hao makaka poa sijawahi waona mmaiseee sijawahi kukaa hapo
umepasahau?.....Ngoja wenye kijiwe chao waje...
hata mie mara zote nazoendaga sijawahi ona wakaka poa..........labda wadada warembo na wakaka handsome basi.jaribu siku moja n pazuri na hao makaka poa sijawahi waona mm
kweli kabisa hao ndio waliopohata mie mara zote nazoendaga sijawahi ona wakaka poa..........labda wadada warembo na wakaka handsome basi.
ama uhandsome kwake ndiyo ukaka poa.kweli kabisa hao ndio waliopo
ha ha hah labdaama uhandsome kwake ndiyo ukaka poa.
wewe wa kike ni ngumu kuwajua makaka poa kama unaowaonaga kama akina rayyounr,kuna wengine wanasura ngumu hatari huwezi kumtambua kama shoga ila ukikaa naye ndo utamjua ni bwabwa anapoanza kumtongoza mwanaume mwenzieama uhandsome kwake ndiyo ukaka poa.
inawezekana unachosema ni kweli.wewe wa kike ni ngumu kuwajua makaka poa kama unaowaonaga kama akina rayyounr,kuna wengine wanasura ngumu hatari huwezi kumtambua kama shoga ila ukikaa naye ndo utamjua ni bwabwa anapoanza kumtongoza mwanaume mwenzie