La Liga LIVE: Real Madrid vS Barcelona, from Santiago Bernabeu

Kwa mpira waliopigiwa second half ni aibu kubwa kwa Barca na Messi akiwemo uwanjani. Magoli yenyewe wamefungwa na makinda na kwa staili ileile, shame, shame.
 
Tukubali tukatae Barcelona imezidi kupotea huo msimu na kama Atletico ingekua poa basi hata nafasi ya pili kwenye ligi asingepata.

We fikiria timu ina wasajili wachezaji wa hovyo hovyo wachezaji ambao wakienda hata kwa wapinzani wetu hawawezi kuapata nafasi poor Barca.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
uzi wako ni wakishabiki sana, (jinga wewe) halla madrid.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…