Kitambi chakufutia tachi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2019
- 1,063
- 2,566
SALAAM WAKUU.
Jana kulishuhudiwa mchezo wa hatima ya UEFA CL kati ya REAL MADRID dhidi yaLIVERPOOL ambapo vijana wa LOS BLANCOS walinyakua taji baada ya kuifunga LIVERPOOL bao 1 bao lililofungwa na VINICIUS.
Hadi wananyakua taji timu ya REAL MADRID imezifunga timu zilizomaliza nafasi tatu za juu kwenye ligi ya UINGEREZA ambazo ni CHELSEA(N3) MANCHESTER CITY(BINGWA) NA LIVERPOOL(N2) JE HII HAITOSHI KUTHIBITISHA KUWA LA LIGA NI BORA KULIKO EPL?
NB: LIVERPOOL(6) MANCHESTER UNITED (3) CHELSEA(2) NOTTINGHAM FOREST(2) ASTON VILLA(1) JUMLA 14= REAL MADRID 14.
VILEVILE MARA YA MWISHO KWA MADRID KUFUNGWA MCHEZO WA FAINALI YA UEFA ILIKUWA MWAKA 1981.
EPL NI LIGI YA WAPIGA DOMO
HALLA MADRID.
Jana kulishuhudiwa mchezo wa hatima ya UEFA CL kati ya REAL MADRID dhidi yaLIVERPOOL ambapo vijana wa LOS BLANCOS walinyakua taji baada ya kuifunga LIVERPOOL bao 1 bao lililofungwa na VINICIUS.
Hadi wananyakua taji timu ya REAL MADRID imezifunga timu zilizomaliza nafasi tatu za juu kwenye ligi ya UINGEREZA ambazo ni CHELSEA(N3) MANCHESTER CITY(BINGWA) NA LIVERPOOL(N2) JE HII HAITOSHI KUTHIBITISHA KUWA LA LIGA NI BORA KULIKO EPL?
NB: LIVERPOOL(6) MANCHESTER UNITED (3) CHELSEA(2) NOTTINGHAM FOREST(2) ASTON VILLA(1) JUMLA 14= REAL MADRID 14.
VILEVILE MARA YA MWISHO KWA MADRID KUFUNGWA MCHEZO WA FAINALI YA UEFA ILIKUWA MWAKA 1981.
EPL NI LIGI YA WAPIGA DOMO
HALLA MADRID.