nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,379
Aisee naomba niwe wa kwanza kwenye hiyo sensa, napinga miwigi ya aina yoote na minywele artificial! Hiyo midude inaniput off ile mbaya! Yaani utakuta inachomachoma hivi! huwa nahisi kila kitu feki!
Natamani niombe picha za wasichana wenu nione, sio mnatuzuga hapa. Si hajabu hilo wigi ndilo lilikufanya umtokee.
Haaa. Kazi mnayo. Mimi wangu tena kama sijasukia weaving muda mrefu ndio kwanza ananikumbusha. Kwa hiyo msi generalize.
Wanawake wa kiafrika mwapendeza sana na nywele zenu za kawaida, zinahamasisha kweli. Mi wangu ni dread locks kwenda mbele kitu, kitu nechero!Natamani niombe picha za wasichana wenu nione, sio mnatuzuga hapa. Si hajabu hilo wigi ndilo lilikufanya umtokee.
Mbu hapo umeng'ata patamu!LOL, anakukumbusha? ana hila huyo! ha ha ha (am joking!)
kisa cha kuyachukia hayo 'manyangarika' kichwani ni;
(I hope watoto wamelala saa hii, hawasomi jf)
- siku mrembo anapokwenda kusukia hizo weaving, atachukua si chini ya masaa sita! what a waste!
- wengi wanaovaa mawigi, time ya kulala wanayavua na kubakia na mabutu mabayaaaa kichwani!
- wengi wanaosukia rasta, siku mbili tatu za mwanzo hawataki uwachezee nywele, eti unawaumiza!
- binafsi napenda mlimbwende aliye free kushikwa/kuchezewa nywele, hata ikibidi ku shower pamoja.
Ningefurahi kama ingetokea siku moja wanawake tukawa na confidence japo ya kufanya mambo kwa ajili yetu kwanza na si kwa ajili yakumplease binadamu wa kiume! Kama manywele ya bandia yanakufanya ujisikie kuwa ni mrembo go ahead a wear them;
but kama ni mrembo toka moyoni n u r confident na u don't feel like urembo wako unakuja ukifanana na muhindi au Mzungu achana nayo! Huyo mwenzio kama yuko attracted na manywele hayo he can be better of with wadosi, wazungu or sokwe!
Dada sio siri asilimia kubwa ya wanaume wengi hatupendi mawigi/weavings......naweza kucompromise kama weaving yenyewe iko bomba hadi inakufanya uamini kuwa hizo nywele ni zako mfano wa Beyonce. Lakini hakuna kitu kinakera wanaume tulio wengi kama tukiona mdada amevaa wigi/weaving tena kwa macho tu unajua
Nafikiri mtoa mada alimaanisha extensions sio kutreat nywele zako ulizozaliwa nazo.
</p>Wanawake wa kiafrika mwapendeza sana na nywele zenu za kawaida, zinahamasisha kweli. Mi wangu ni dread locks kwenda mbele kitu, kitu nechero!
...achilia wigi, hata anayesukia rasta, sijui human hair bla blah, wote wananikera!
pheeww,...
acha niendelee kushabikia wenye orijino singa na kipilipili kama cha lizzy!
Wanawake wa kiafrika mwapendeza sana na nywele zenu za kawaida, zinahamasisha kweli. Mi wangu ni dread locks kwenda mbele kitu, kitu nechero!