Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Joined Feb 4, 2009 Posts 76,107 Reaction score 160,001 Dec 29, 2010 #1 Jengo la makazi mapya ya Spika kama linavyoonekana hivi sasa mjini Dodoma,hiviii lile la spika wa zamani limeenda wapiiii
Jengo la makazi mapya ya Spika kama linavyoonekana hivi sasa mjini Dodoma,hiviii lile la spika wa zamani limeenda wapiiii
Kiranja Mkuu JF-Expert Member Joined Feb 18, 2010 Posts 4,219 Reaction score 4,608 Dec 29, 2010 #2 Spika mpya na jengo jipya, hatokaa humo, kila siku ataishia kukaa hotelini. Hii nchi safi sana, haitaki usome masomo magumu, we tafuta hata ka digirii ka cookery halafu ingia kwenye siasa, utakula neema ya nchi, wewe hadi uzao wako wa 27
Spika mpya na jengo jipya, hatokaa humo, kila siku ataishia kukaa hotelini. Hii nchi safi sana, haitaki usome masomo magumu, we tafuta hata ka digirii ka cookery halafu ingia kwenye siasa, utakula neema ya nchi, wewe hadi uzao wako wa 27