Laaana za Mzalendo wa Kweli zinavyoitesa Nchi na Serikali ya Bi tozo

Laaana za Mzalendo wa Kweli zinavyoitesa Nchi na Serikali ya Bi tozo

kibori nangai

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2015
Posts
1,430
Reaction score
2,130
Hi

Nisiwachoshe mie Ngosha wa Sengerema

Iko Ivi kinachoisumbua hii nchi yetu ni Laana za Mzalendo wa kweli kiwahi kutokea nchi mwetu ,JPM mwana wa Chato.

Mama usiyape kisogo maono ya Mzalendo wa kwelii na
Majaliwa Kasimu Usiyape kisogo jambo hili
Nakufahamu vyema mikono yako ni misafi achana na wapiga madili kina Nape,Yule kipara cha Kisambaa na wengine wengii.

Tafuteni hotuba za Hayati msikilize misishupaze shingo zenuu zitavunjikaaa.

Wewe Msigwa sijui hata nini kimekupataa wewe endelea na utetezi wako uliojaaaa kiburi na majivunoo

Naomba kunukuuuu.

Nasema uongo ndugu zangu ,nimesacrify maisha yangu kwa ajili ya watanzania wenzangu na sema iko siku mtanikumbuka.

Usiku mwema

Viva Jasiri uliyeacha alam kwenye Taifa letu

Hakika mimi ninayaishi yote kwenye hotuba zako.

Wale waliokuwa wamekuzunguka wamekugeuka
 
Hi

Nisiwachoshe mie Ngosha wa Sengerema

Iko Ivi kinachoisumbua hii nchi yetu ni Laana za Mzalendo wa kweli kiwahi kutokea nchi mwetu ,JPM mwana wa Chato.

Mama usiyape kisogo maono ya Mzalendo wa kwelii na
Majaliwa Kasimu Usiyape kisogo jambo hili
Nakufahamu vyema mikono yako ni misafi achana na wapiga madili kina Nape,Yule kipara cha Kisambaa na wengine wengii.

Tafuteni hotuba za Hayati msikilize misishupaze shingo zenuu zitavunjikaaa.

Wewe Msigwa sijui hata nini kimekupataa wewe endelea na utetezi wako uliojaaaa kiburi na majivunoo

Naomba kunukuuuu.

Nasema uongo ndugu zangu ,nimesacrify maisha yangu kwa ajili ya watanzania wenzangu na sema iko siku mtanikumbuka.

Usiku mwema

Viva Jasiri uliyeacha alam kwenye Taifa letu

Hakika mimi ninayaishi yote kwenye hotuba zako.

Wale waliokuwa wamekuzunguka wamekugeuka
Magufuli was a country bumpkin.
 
So far Samia kapiga kazi kubwa kuliko mwendazake, mama hakika unaupiga mwingi.
 
Back
Top Bottom