Laana tz...super model wa bongo "fiderine" aanika picha mtandaoni kukaribisha 2014

Hahaa nasikia harufu kali sana ya BAN..ze hig sickness!!!hatareeee

Hahahaaaa, usiogope kiongozi.. Labda ni uzushi ulikuwa.. Ngoja Money Stunna aje..
Anajua kila kitu kuhusu hawa ma "star"
 
ndo yukogi ivi AU NI PICHA TU?
 
Nilisikiaga eti Prof Jay alikuwa ana date na demu mmoja aitwae Fiderine. I, mpaka akamuambukiza "ze big sickness"
Hivi ni kweli, na demu mwenyewe ndio huyu?
Samahani lakini.

ni kweli..
ila hapo kwenye FIDERINE toa,weka RASHIDA WANJARA..
 
Duuuu huyu mshkaji bwabwa nini? Mbona anajipaka malipstick?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…