Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imeisha hiyo 🥴acha matusi punda mjane we.
Hata Gamondi angekuwepo huenda mngefungwa tu, Timu wengi weshaijua, wanaiacha icheze huku wameziba nafasi kisha wanapiga counter. Gamondi mmemuondolea tu hii aibu ya kufungwa.Sio laana, ni upumbavu wa Hersi na wenzie unaotugharimu. Na tutachakaa sana.
Hii haikuwa mechi ya Gamondi kukosa matokeo, yule rookie ndio katuuza.Hata Gamondi angekuwepo huenda mngefungwa tu, Timu wengi weshaijua, wanaiacha icheze huku wameziba nafasi kisha wanapiga counter. Gamondi mmemuondolea tu hii aibu ya kufungwa.
Poleni.Hii haikuwa mechi ya Gamondi kukosa matokeo, yule rookie ndio katuuza.
Mkuu punguza matusi huku sio FacebookKama uchi wa mama ako
Hamna cha laana ya gamondi, ni maamuzi mabovu ya yangaTayari laana za Muargentina zimeanza kuwatafuna jamaa wa Jangwani. Kuchamba Sana mwisho utaondoka na kinyesi ndio Labda imekuwa hivyo?
Anaondoka lomalisa anamuacha kibabage etiLomalisa hakupaswa kuondoka, Gamond hakupaswa kuondoka, nimeambiwa hata wachezaji wamekasirika Gamond kuondoka Sasa watakuwa na Ari kweli.
Ni Bora hersi arudi kwao Somalia atuachie yanga yetu, na likocha la mchongo waliloleta