OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Hoja yako ni nini?Namungo ina hali gani kwasasa
Kwahiyo kafungiwa sababu ya andazi...kwikwikwiki mnavisaKuna tetesi kwamba Kamwe amepigwa ban ya miaka miwili. Nakubaliana na ban na yeyote anayeketa ujinga ujinga unaofanana na huyo apigwe na kitu kizito.
Niwakumbushe tu huyu bwana mdogo aliwahi kumdhalilisha Juma Mgunda. Akasema kati ya Mgunda na Andazi, yeye anachagua andazi.
Viongozi wa timu zote, Simba, Yanga na wengine wanatakiwa kuwakemea wasemaji wao wanapovuka mipaka
Amefungiwa sababu aliropoka uongo unaochafua taswira ya mpira wa Tanzania.Kwa hio kilichosababisha kufungiwa miaka 2 ni nini?
Maneno gan amesemaAmefungiwa sababu aliropoka uongo unaochafua taswira ya mpira wa Tanzania.
Niliwahi kusema maafsa habari wa bongo ni wahuni!Kuna tetesi kwamba Kamwe amepigwa ban ya miaka miwili. Nakubaliana na ban na yeyote anayeketa ujinga ujinga unaofanana na huyo apigwe na kitu kizito.
Niwakumbushe tu huyu bwana mdogo aliwahi kumdhalilisha Juma Mgunda. Akasema kati ya Mgunda na Andazi, yeye anachagua andazi.
Viongozi wa timu zote, Simba, Yanga na wengine wanatakiwa kuwakemea wasemaji wao wanapovuka mipaka