Lab coat zinapatikana wapi?

Lab coat zinapatikana wapi?

unashona mwenyewe.kanunue kitambaa cheupe mpe fundi akushonee
 
msaada waungwana lab coat znapatkana wap??

Unatakiwa utaje mahali ulipo au chuo umechopangiwa ili kama kuna anayefahamu ukufahamishe. Mfano wewe uko Katavi, alafu jamaa wa Arusha anakwambia mkutane akuuzie, mtakutania wapi.
Taja mahali ulipo au chuo umechopangiwa, ili tujue tutakusaidiaje!
 
Unatakiwa utaje mahali ulipo au chuo umechopangiwa ili kama kuna anayefahamu ukufahamishe. Mfano wewe uko Katavi, alafu jamaa wa Arusha anakwambia mkutane akuuzie, mtakutania wapi.
Taja mahali ulipo au chuo umechopangiwa, ili tujue tutakusaidiaje!

Asente kwa msaada wako bro nshapata miidea .
 
huyu bila shaka ni mwanafunzi wa DMI
 
Back
Top Bottom