Labda ni wewe fungua uone!

Status
Not open for further replies.
Na mimi nawakilisha kama wewe ni mwanamke kwanzia 30 hadi 45 aijalishi uko wapi ila tu uwe na master cad credit cad,bip piga hii no 0767 889 177,
 
Ww dogo embu soma achana na mambo yasiyo na msingi kama marafk utakutana nao hukohuko shulen. Kwenye hii mitandao ya kjamii wewe ingia post, na comment mada za maana, Hao marafiki wa uhakika wakupga stori, kujvnjari,kutembeleana na kushauriana wanapatkana hukohuko shuleni, mtaani, chuoni au kazini.
 
Ur not a great thinker nenda facebook utawapata,humu tunajadili mambo ya msingi km janga la kitaifa umeme.
 
Dogo unaspeed kubwa wakati breki zako za kandambili.... Najua ujana huo ukikomaa kimawazo hope hatutapata thred dhaifu kama yako... soma tu usiige tembo kushit utapasuka msamba!
 


Mm najua nafsi yako intamani kuwa na marafiki, but nenda shule kwanza...........! sio nakudharau ila thread yako haiendani na ma great thinkers
 
Nakushauri tumia muda wako mwingi usome shule kwanza..................

Mtoto maskini ya Mungu.....lakini amenikumbusha enzi zile....ulikuwa unapiga picha passport size unatuma gazeti la mfanyakazi....."namtafuta rafiki wa kalamu". Awe mweusi, mwenyeji wa mkoa fulani, nk.
 
naripoti abuse ya JF
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…