Laboratory science and Technology

Hellen Chris

Member
Joined
Nov 18, 2012
Posts
22
Reaction score
7
hey wadau hivi chuo gan hapa tz knatoa bachelor in laboratory science & Technology
 
SUA, KCMC na Mhimbili universities. Lakini ukumbuke udahili tayari na watu wanabukua kwa kwenda mbele, UPOOOOOO!! Hiyo ni kwa mwakani.
 
kcmc tumaini university wanatoa!mimi naulizia level ya certificate-veta chuo gani?
 
Livestock training agency Temeke(LITA-TMK), Wanasaili form four leavers halafu wanasoma miaka 3 wanapata diploma in veterinary laboratory technology(DVLT) Wakimaliza wanaajiriwa na serikali VIC/CVL.
 
Chuo kizuri ni DIT na muhimbili tu kwa iyo kozi ila vingine ni ubabaishaji tu......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…