Labour party kimepoteza viti 42, Conservative kimeongeza viti 66. Campaign ya CHADEMA DIGITAL imefeli kabla haijaanza

Labour party kimepoteza viti 42, Conservative kimeongeza viti 66. Campaign ya CHADEMA DIGITAL imefeli kabla haijaanza

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2019
Posts
1,521
Reaction score
4,381
Nimekuwa nikifuatilia sana mikakati ya Mheshimiwa Mbowe katika kuhakikisha Chama Cha CHADEMA kinashika dola lakini nimegundua kuwa tatizo la Mbowe hajengi Taasisi anajenga Mali yake binafsi maana ukianzia anvyoongea yaani anakuwa mkali kana kwamba anaendesha kampuni yake binafsi.

Mbowe anatakiwa ajue kuongoza Chama unatakiwa utende zaidi kuliko kuongea action shouts more louder than words.
Anaposema ana wanachama kazaaa si lazima kuwa na idadi hiyo ya wanachama wokapige kura unaweza ukawa na wanachama million kumi Leo kesho wakatoweka wote then kuwa na wanachama wengi haijustify ushindi
Ushindi unakuwa justified na Sera zenye mvuto zenye ktutetewa na MTU makini bila uongo na ubabaishaji

Kuongoza nchi si majaribio ni kitu potential huwezi kusema unataka kushika dola bila kuwa na kundi LA watu walio serious kwa vitendo na mwonekano
 
Unalinganisha tope na unga...

Hivi kwa Political ground zipi tulizo nazo kufananisha nchi ya malkia na sisi...

Kwa wenzetu wanasiasa na viongozi wa siasa si kila kitu....

Bongo hapa wao ndio kila kitu.. uwe na akili za kutosha au huna.....

Ipo siku tutajitambua pia...
 
Nimekuwa nikifuatilia sana mikakati ya Mheshimiwa Mbowe katika kuhakikisha Chama Cha CHADEMA kinashika dola lakini nimegundua kuwa tatizo la Mbowe hajengi Taasisi anajenga Mali yake binafsi maana ukianzia anvyoongea yaani anakuwa mkali kana kwamba anaendesha kampuni yake binafsi.

Mbowe anatakiwa ajue kuongoza Chama unatakiwa utende zaidi kuliko kuongea action shouts more louder than words.
Anaposema ana wanachama kazaaa si lazima kuwa na idadi hiyo ya wanachama wokapige kura unaweza ukawa na wanachama million kumi Leo kesho wakatoweka wote then kuwa na wanachama wengi haijustify ushindi
Ushindi unakuwa justified na Sera zenye mvuto zenye ktutetewa na MTU makini bila uongo na ubabaishaji

Kuongoza nchi si majaribio ni kitu potential huwezi kusema unataka kushika dola bila kuwa na kundi LA watu walio serious kwa vitendo na mwonekano
Conservative Party (UK) ndio Chama rafiki cha CHADEMA....United Kingdom.

CDU (Germany) ndio rafiki wa CHADEMA Germany.

Republican (USA) ndio Chama rafiki wa CHADEMA United States of America.

Si CHADEMA wala Mbowe Wana cha kujifunza Kwa kuanguka kwa Labour Party Uingereza. Badala yake wanashangilia maana Chama kinqchotawala huko ndicho kinqchokubaliana kiitikadi na CHADEMA.

FACTS Ni muhimu zaidi kuliko mihemuko na ushabiki wa Ki "mbugila". And that is just the FACT!
 
Back
Top Bottom