Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Vp na ww ni mwenzangu unayetamani kuonja ladha yake?Nipo humu mwaka wa sita,hii ID ya pili lakini sijawahi pigwa ban aisee,mpaka nashangaa wenzangu wanafanyaga nini mpaka wanakula ban mara kwa mara.
Ndio mkuu,tatizo matusi siwezi,labda nijaribu namecallingVp na ww ni mwenzangu unayetamani kuonja ladha yake?
Kwikwikwikwi km vp mtwange makonde Demiss tuone itakuwaje akishtaki, Au tufanye application.Ndio mkuu,tatizo matusi siwezi,labda nijaribu namecalling
Nani huyo mkuu.
Hahahaha jaman nipigwe tenaKwikwikwikwi km vp mtwange makonde Demiss tuone itakuwaje akishtaki, Au tufanye application.
Hahahaha mkuu pamoja na mm tunatamani kuijua ladha ya ban ss mkuu kasema kutukana hawezi ndo nikamwambia akutwange ngumi ila inabidi ajiandae kwa ban mbili sasa kwa Mods na kwa mzee wa Tunguri.Hahahaha jaman nipigwe tena
Kuna. BAN za aina nyingi mkuu. Kuna BAN moja sio salama sana unapigwa BAN thread yako inakua inaonekana na moderators tu..Duh pole mkuu kumbe kuna "ban" za aina mbalimbali.
Duuuh aisee hii nahisi ndo bab kubwa basi km vp unakuwa unafululiza thread za kuomba tu msamaha.Kuna. BAN za aina nyingi mkuu. Kuna BAN moja sio salama sana unapigwa BAN thread yako inakua inaonekana na moderators tu..
Ahaaaàhaa akipigwa BAN atakukumbukaa sana kwa maneno yako... Na akirudi ataandaa thread kuhusu weweyani kipindi chote hichi umekaa humu ndan hujawa hi pigwa ban unatia aibu sana mkuu ptuuu!! hii ni aibu mbaya sana embu mtukane japo kidogo member yeyote humu ndani uoendoe hio nuksi na mkosi