Ladies, grab your friends...

Ladies, grab your friends...

Raia Fulani

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2009
Posts
11,478
Reaction score
3,659
Kuna tangazo hilo huwa nalisikia redion la kujumuika pale sijui zong'waa garden. Linasema mwishowe, ladies, grab your firends. Guys, you know what to do! Sasa, hawa watu wanataka kutuambia nini? kwamba tukajichagulie samaki hapo garden? Kwamba mwanaume toka mwenyewe ila mwanamke wa kustarehe nae utamkuta huko burudanini? NYAMBAFU!! Wajipange upya na matangazo yao.
 
Back
Top Bottom