Ladies. If you deserve to be a wife please read here.


Ndio hapo mkuu ukisikia wadau wanalalama kiwango chetu cha elimu kimeshuka ukubali.
 
"Fedha na mali ni urithi mtu hupewa na babaye, lakini MKE mwema atoka kwa BWANA" Ndugu muombe Mungu akuoneshe alie sahihi kwako maana unaweza kumpata mwenye mlolongo wa sifa ulizotaja, lakini ndani mkawa hamuelewani kabisaaaaaa, yaani paka na chui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…