mashaka sahani
Member
- Jan 26, 2013
- 11
- 1
Naitwa Mashaka,msukuma naishi mwanza,umri wangu ni miaka 26,nasoma nna pia nafanya kazi,mrefu wa wastani,mwili wa wastan.natafuta mchumba/mpenzi awe na sifa zifuatazo;
-mwili wa wastani au mwembani ila asiwe mnene.
-Mcha Mungu
-awe tayari kuishi mwanza.
-umri kati ya miaka 18-26
-asiwe amezaa,
-awe na kazi binafsi au kaajiliwa
Niko serious,huna haja ya kujibu chochote kama haikuhusu au kama hauko serious(usipoteze muda).
mawasiliano. 0654942112.texts zote nitajibu.thhanks
-mwili wa wastani au mwembani ila asiwe mnene.
-Mcha Mungu
-awe tayari kuishi mwanza.
-umri kati ya miaka 18-26
-asiwe amezaa,
-awe na kazi binafsi au kaajiliwa
Niko serious,huna haja ya kujibu chochote kama haikuhusu au kama hauko serious(usipoteze muda).
mawasiliano. 0654942112.texts zote nitajibu.thhanks