Ladies: inawahusu

Joined
Jan 26, 2013
Posts
11
Reaction score
1
Naitwa Mashaka,msukuma naishi mwanza,umri wangu ni miaka 26,nasoma nna pia nafanya kazi,mrefu wa wastani,mwili wa wastan.natafuta mchumba/mpenzi awe na sifa zifuatazo;

-mwili wa wastani au mwembani ila asiwe mnene.
-Mcha Mungu
-awe tayari kuishi mwanza.
-umri kati ya miaka 18-26
-asiwe amezaa,
-awe na kazi binafsi au kaajiliwa


Niko serious,huna haja ya kujibu chochote kama haikuhusu au kama hauko serious(usipoteze muda).
mawasiliano. 0654942112.texts zote nitajibu.thhanks
 
Nani yule alisema anataka mwanaume wa kisukuma!??


Hehe bwana mashaka una ile-accent yenu ile!???
 
haya masharti ni ya facebook na wala sio JF, utachemka na u-guest wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…