Ntampa maji aoge, kama hajala ntampa pia chakula, kisha ntampa na ile kitu iliyonitoa kwa baba na mama. asubuhi ndo ntamuliza alikuwa wapi nami ntapima utetezi wake kwani ntakuwa namwelewa tabia yake ni vipi anadanganya ama anasema kweli na maisha yatasonga.