Ladies, tukiwaambia kuna michongo tunasikilizia muwe waelewa

Ladies, tukiwaambia kuna michongo tunasikilizia muwe waelewa

Zero IQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
13,959
Reaction score
24,935
Wakina dada wa bongo Tukiwaambia kuna michongo tunaisikilizia muwe waelewa,


20220815_204644.jpg

20220815_204649.jpg


Cc Zero IQ
 
Kuna majina fulani ya wanawake huwa yanatawala sana ktk uongozi na umaarufu. Sijui ni wingi wake, bahati au kuna sababu ya ziada. Mfano, Maria, Rose, Janeth, Rachel, Joyce, Aisha/Esha/Asha.
 
Kuna majina fulani ya wanawake huwa yanatawala sana ktk uongozi na umaarufu. Sijui ni wingi wake, bahati au kuna sababu ya ziada. Mfano, Maria, Rose, Janeth, Rachel, Joyce, Aisha/Esha/Asha.
Hili jambo mbona huwa nalisema mara nyingi. Majina ya jinsia zote yanajirudia kwenye nyadhifa fulani.

Ni vigumu ukutane na DJ anaitwa Richard au Benjamin, kama ana hilo jina mchunguze nyumbani au mtaani atakuwa na jina linalotumika sana zaidi ya hilo. Na bado atakuwa na a.k.a yake ya kazi

Vigumu kukutana na CEO wa benki mbongo anaitwa Frank, Jerome au Abuu, utakutana na Benjamin, Mohammed au Hussein. Kwa wanawake utawapata kina Nancy, Lorraine na Miriam kwenye urembo na umiss na waolewe na wachezaji au mastaa. Kina Zuena, Maria, Asha, Janeth huwa hawaolewi na waenda gym kujaza misuli. Vigumu usikie first lady Afrika hapa anaitwa Marylin.

Kuna majina nikiyasikia huwa nayakataa kwa kazi fulani. Benjamin Mwakyembe akiomba kuwa DJ namkatalia. Ila Alexander Tozi akiniomba kuwa accountant nakataa. Huwa natamka jina mfululizo najaribu kuliita na kulinganisha position, lisipokujakuja trust me halifai hiyo nafasi. Huwezi kuwa na Rais anaitwa Kelvin Melkisedeki
 
Hili jambo mbona huwa nalisema mara nyingi. Majina ya jinsia zote yanajirudia kwenye nyadhifa fulani.

Ni vigumu ukutane na DJ anaitwa Richard au Benjamin, kama ana hilo jina mchunguze nyumbani au mtaani atakuwa na jina linalotumika sana zaidi ya hilo. Na bado atakuwa na a.k.a yake ya kazi

Vigumu kukutana na CEO wa benki mbongo anaitwa Frank, Jerome au Abuu, utakutana na Benjamin, Mohammed au Hussein. Kwa wanawake utawapata kina Nancy, Lorraine na Miriam kwenye urembo na umiss na waolewe na wachezaji au mastaa. Kina Zuena, Maria, Asha, Janeth huwa hawaolewi na waenda gym kujaza misuli. Vigumu usikie first lady Afrika hapa anaitwa Marylin.

Kuna majina nikiyasikia huwa nayakataa kwa kazi fulani. Benjamin Mwakyembe akiomba kuwa DJ namkatalia. Ila Alexander Tozi akiniomba kuwa accountant nakataa. Huwa natamka jina mfululizo najaribu kuliita na kulinganisha position, lisipokujakuja trust me halifai hiyo nafasi. Huwezi kuwa na Rais anaitwa Kelvin Melkisedeki
Umelenga mulemuleeee🫵
 
Back
Top Bottom