Ladies, why?...!

Hata mimi hii ni mara ya kwanza kusikia ndoa imevunjika kwa kuwa wife hatoi matumizi ndani. Kha!

nina hakika hiyo sio sababu ya ndoa kuvunjika,ya ndani ya kuta za nyumba wakiwa wenyewe kaka yako hatakuambia!
 
Nahisi dada King'asti hujamuelewa kijana anachomaanisha. Naona umeitukia hii topic kwa jazba na kiushabiki zaidi kiasi kwamba nashindwa kuelewa kama ni wewe huyo wa siku zote mwenye ushauri wa maana au la!

Na nduguyo Asprin naye ameamua kuchangia kwa kutaka kukufurahisha zaidi kuliko kusema ukweli kabisa. Mimi kwa muono wangu hata ukirejea kwenye vitabu vitakatifu imempambanua mwanamke bora ni yupi. Ni yule mwenye kufanya kazi kwa bidii ili kuinua uchumi wa nyumba yake. Soma mithali.

Inapendeza sana wanandoa mkishirikiana kujenga na kuinua uchumi wa nyumba yenu kwa uhuru, uwazi na kushirikiana kwa kupanga kila jambo pamoja. Mkitanguliza upendo wa kweli Kati yenu, kamwe hayo matatizo hayatotokea. Mimi ninamashaka sana na ndoa yako kama inaamani kwa huo msomamo na mtazamo wako

 

Ukinisoma vyema hautapata shida kunielewa ma love!
 
gfsonwin,nimechagua kutokujibu swali lako lakini ukichunguza vizuri utapata jibu!
 
I respect you Cacico, I wish King'asti angesoma huu Uzi wako mkuu .

 
I respect you brother. You are very wise man.

 
ikoje si kama yako!kumbe imekukera hee!! na wewe kumbe unatolea povu mshahara wa mkeo !shauri zako utalishwa hata wa wenzio

Malaya tu wasioridhika na wale wenye tamaa iliyopitiliza ndiyo wanaweza kuwa na msimamo na mtazamo kama wako. Kama umeolewa nampa pole sana huyo mumeo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…