Lady calling habits

PD unajua Mungu ame2pendelea us men ndomana at th end 2napata a lady wa ukweli.. Hawa wa dada wa muhundo huu technologyia imewaacha wng wao..dawa fukuza unavuta kipya
 
PD unajua Mungu ame2pendelea us men ndomana at th end 2napata a lady wa ukweli.. Hawa wa dada wa muhundo huu technologyia imewaacha wng wao..dawa fukuza unavuta kipya

Man ila chozi la mwanamke noma, huogopi? Bora kupotea kimya kimya.
 
need i say more!!
 
Mimi nikigundua ana tabia hiyo ninachofanya ni kutomwendekeza wala kumbembeleza. Akinipigia ninamsikiliza shida yake na ninamtatulia, lakini kwangu huishia hapo na ninajijua ni mtu wa kuchunwa tu bila ya kutegemea kuwa hapo pana mapenzi. Lakini ukianza kumpigiapigia kunafanya usogeze uhusiano na kukuganda zaidi. Akiwa na shida tena akipiga na kueleza shida kama una uwezo mtatulie. Hatimaye atajiona ovyo mwenyewe na uhusiano unakufa kifo cha maumbile.
 
duuhhh pole sana
yaani ulikuwa unatumiwa hivyo..
ndo hivyo wote tunatofautiana ..
Hopeful next time utampate ambaye ni tofauti ..
all the best ..
 
poel mwaya ila hata sie akinadada kuna wakati mwanamume anafanya hivyo hivyo cha msingi usikate tamaa keep on searching u will get the best patner one day, is nt end of the world kaka
 
Hivi kuna madem bado wanaomba air time? nauliza tu
 
Hivi kuna madem bado wanaomba air time? nauliza tu

Duh! man wapo wengi. you can mock them his way, weka some airtime vouchers on your desk ofisini, kwa wanawake 5 watakao pita karibu na desk yeako lazima 4 watakuaribia budget!
 
yanii dah!!hii tabia inakeraa sanaa...yani umetumaa vochaaa,unaishiwaa ku be piwaaaa tu,kesho tenaa vochaaa,na wewee tumaaa tu
 
yanii dah!!hii tabia inakeraa sanaa...yani umetumaa vochaaa,unaishiwaa ku be piwaaaa tu,kesho tenaa vochaaa,na wewee tumaaa tu

sometime kutokana na status unaona aibu kusema huna, bora ukakope, (yet upande wa pili unadamage account yako)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…