Wii naona kuna mtu ameamua kuku PM hadharani......sijui utasemaje leo
Lady doctor come zis way kuna moyo wa mtu umekudondokea
Its true Heaven on Earth , huyu binti namzimikia ile mbaya. Nimeshajaribu kama mara 2 au 3 hivi ku-PM lakini anasema nimpe muda, sasa yapata kama miezi 6 hivi, bado ananizungusha
Nimeamua kuja live, ili ajue nampenda kwa dhata... I love you so much Lady doctor
Mkuu silaha pesa, bunduki mzigo. Huyu binti yeye anahitaji pesa na sio hiyo mibunduki..
Wii naona kuna mtu ameamua kuku PM hadharani......sijui utasemaje leo
Lady doctor come zis way kuna moyo wa mtu umekudondokea
Umewahi mwandikie credit card yako namba zake na password yake then ukaona anakujibu nn?
Mkuu acha longo longo;achia CRDB Tembo credit card mrembo aanze kuichanja na ndiyo wengi wanavyofanya hapa na wanafanikiwa kupata warembo!
Maneno bila vitendo warembo hapa watakuzushia kuwa ww ni chizi!
Mh! Haven............?!
Nimefanyaje jaman