Lady doctor naomba tuwe wapenzi

Usijali mpenzi huyo MD25 nimeshaongea naye kiutu uzima na ameshaelewa.


Jipe moyo, ila mme mwenzangu kwa jinsi Lady doctor anavyokuponda, ningekuwa wewe ningeachana nae tu...
 
ewe mwanaume usiwe mwepesi wakuanika udhaifu wako

kusema hisia zako kwa umpendae(kama u mkweli kwa nafsi yako na yule umpenadaye/umtamkiaye!) nahisi ni miongo mwa maeneo machache ya kijasiri,ni kama mwanajeshi aliye vitani akipigania maslahi ya nchi yake!
 
Tena mwambie akukome haswa akiona vyaelea vimeundwa. Hajui mimi pekee nina hatimiliki in the absence of Arushaone!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu... Huyu mtoto Lady doctor yeye ni mwanamke wa kuoa, yeye si kiluka njia kama hao wa kwenu mnaowanunua kwa TEMBO CARD.... Au unataka kuniambia watu wanapiga sana Lady doctor . Kama vipi niweke wazi, nisije nikaona nimepata kumbe nimepatikana....


inamaana homework yako hujaifanya vizuri kabla mpaka utishike na post za watu humu,,,,,,,,,,,,,?
 
hii thread nimeona kama imejenga tension fulani na useriousness fulani vileee,,,,,,,,,,,,

si bure kuna jambo mahali fulani,,,,,,,,,,,,,,,,,,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…