lady jay d

lady jay d

Anza na mabaya yako....majungu tu..get a life b*tch.
 
Jf cku hizi bana??? Ila ni raha tupu! Idumu Jf na members wote mdumu!
 
Kama wewe unavyojiona una mazuri na mabaya ndiyo binadamu wote tuna pande zote!..
Swali lako kwanza limekaa kishari sana mana usishaambiwa sijui itakusaidia nini?!!

Na wewe hiyo avatar yako...ni kinyaaaaaaaaaa.......................
 
Mind your own bness DICKHEAD, ukishajua itakusaidia nini. STUPID BOY, kojoa ukalale.

Acha hasira mkuu.......just provide constructive ideas and comments...sasa akisha kojoa what follows...
 
Unakuwa constructive to constructive issues, lkn watu wanapojaribu kuwa assholes you have to piss them off. I think ulitakiwa umuambie yeye kwanza awe constructive
 
Mazuri yake:

Anatoka Mkoa wa Mara. Ameolewa na ni Mjasirimali. Anatumia vizuri kipaji chake cha kuimba Kwaya na kujipatia kipato chake.

Anasaidia sana ndugu zake na Mumewe kwenye mambo ya kipato.

Yuko karibu na wapenzi wake kwa kuweka habari zake zote kwenye Blog yake.

MABAYA YAKE: Nenda kwa Mumewe umuulize maana kwa sasa nafikiri ndiye pekee ANAYEMJUA huyu mamaa.....

Ahhh, nimeambiwa kuwa huwa anapenda sana kugawa kazi za kumuoshea Chupi na Viatu watu wenye tabia kama yako. Wahi wahi maana unaweza kuambulia walau kumfulia Sox mumewe.,,,,,,,,,,,,,

Hahaaaa. JF hata kama umechukia, kweli unamalizia hasira zako hapa; Asante kwa swali.
 
Mkuu Sikonge nimependa sana uliyoyaandika..hasa mistari ile ye mwisho mwisho...ndio namna ya kukomesha watu kama hawa ambao hawana kazi za kuwaweka busy kazi kupika tuu magumu...:bored:
Mazuri yake:

Anatoka Mkoa wa Mara. Ameolewa na ni Mjasirimali. Anatumia vizuri kipaji chake cha kuimba Kwaya na kujipatia kipato chake.

Anasaidia sana ndugu zake na Mumewe kwenye mambo ya kipato.

Yuko karibu na wapenzi wake kwa kuweka habari zake zote kwenye Blog yake.

MABAYA YAKE: Nenda kwa Mumewe umuulize maana kwa sasa nafikiri ndiye pekee ANAYEMJUA huyu mamaa.....

Ahhh, nimeambiwa kuwa huwa anapenda sana kugawa kazi za kumuoshea Chupi na Viatu watu wenye tabia kama yako. Wahi wahi maana unaweza kuambulia walau kumfulia Sox mumewe.,,,,,,,,,,,,,

Hahaaaa. JF hata kama umechukia, kweli unamalizia hasira zako hapa; Asante kwa swali.
 
Jamani kama hamna mada zenye tija acheni ushamba!!!!!!!!!
 
Na wewe hiyo avatar yako...ni kinyaaaaaaaaaa.......................

Simple: Add mimi kwa block list yako ili usiione forever vinginevyo kinyaa hakitaisha!!..Halafu kinyaa unakijua wewe?au una kichomi?
 
This place is home of Great Thinkers! not umbeya, nenda kwenye blog za Shigongo.
 
Back
Top Bottom