Lady Jay Dee akerwa kuzushiwa kutundikwa mimba

Wengine wana watoto ila wanawashinda kulea , wamwache cheusi dawa wangu aka bossy lady
 
Kawakomesha vzur ***** next time hawarudii tena

Uwiii chezea wabongo wewe,hawakomi ng'ooooo,anyamaze tu tho inauma sn,awe km wema sepetu yeye kila cku anasemwa mgumba lkn wala hana time,binadamu hawakos la kusema Mungu ndie anaetupa wtt na kwa wakati anaotaka yeye.
 
Inaonekana wamegusa pabaya........wameshika pu*bu za Punda wameambulia mateke ya nyuma.
 
Kutokuwa na mtoto ni stress sana huku duniani

Hasa ukiwa mtu flani hivi unayejulikana, hata wasio watu maarufu mawifi tu na mama mkwe wanatosha kukupeleka jehanam kabda ya siku zako , sembuse IG
 
Ha ha ha anasema basi muueni kama hazai.

Nani amuue tatizo akili zake ni finyu na hajijui kama yeye ni Msanii ambaye ni Kioo cha Jamii maneno machafu yatamcost sana... Anamuiga Yule Mcheza Basket ball wa Tanzania Hasheem Thabeet alikuwa na maneno machafu na sijui kama kuna ambaye atakuja kumfikia.... Yaani akidai yeye kuwa Juu ni yeye mwenyewe na hakuna msaada wa Mtu mwishowe watu wakamchoka haswa wale waliomsaidia na sasa ukimzungumzia ni sawa na vichekesho.. ila Maisha yanaenda... Judith anachotakiwa kukitunza ni Heshima maana huwa haiuzwi hivyo atainunua akiipoteza ndio imeenda hiyo.... si sawa na Pesa akipoteza atapata nyingine la hasha....
 
Mtoto sio nguo, Utaomba mtu.Ukimtosa wako wee, Utalia sana mama.
 
Watanzania kwa uzushi,umbea ,ndio wenyewe.
 
garder alikuwa anapanda mbegu juu ya mwamba,kajipinda,kampinda,kamwaga mpaka basi,huyu dada ni tasa au alitoa mimba sana mpaka dokta akachoka kuletewa ishu hizo akaamua kulitoa likizazi looote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…