Lady Jay Dee ameachwa na Mnigeria?

Kipindi hicho alikua bint na maarufu ilikua kazi sana kwenda sambamba na vijana wasio na majina na umaarufu wowote hata kama walikua na nia ya kuoa. Hili linawakuta wasanii wengi sana wa kike na wakiume. Mwishoni wa siku uzee ushagonga hodi ndo wanaanza kulialia. Wengine ndo wanaviganda vidogo vyetu wee as if ndo walio waBikidudelaiz [emoji23][emoji23]
 
Ingekuwa ni hivyo usemavyo wazazi wetu wasingedumu kwenye ndoa zao
Kudumu kwenye ndoa ni jambo jingine kabisaaa,nikuulize swali (samahani lakini) je bi mkubwa wako aliolewa na miaka 30's?
by the way sijasema wote but wengi wao at that age ni non suitable
 
hivi wanawake huwa mnajisikiaje mnavyotafunwa kama bigijiii na wanakutema huko. wakati ule unatafunwa unaringaaa kama vile unajiona malaika, kumbe jamaa anakuona kikongwe atafune mbunye yako alafu akutapike ukaendelee kuzunguruka kama nung'ayembe. huyu dada nimemdharau kuliko chochote. ktk maisha yangu huyu yupo fungu moja na wema na kiria.
 
Hakuna kiki kaachwa .. demu amezeeka
SHIDA UZAZI... kachomoa sana sasa imebuma.. hii niliiwaza kabla na baada ya kupata msanii mpya.
nikajiuliza huyu dogo je atavumilia kama jamaa aliyepitaaa? THE NDINDINDI😵
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…