Ah, wapi! Kisa Jide kasema yupo Team Kiba? Huyo Mond mwenyewe sidhani kama ana mpango wa kufanya kazi na Jide manake mawazo yake yooooooooote, yame-focus wasanii wakubwa wa West Afrika kwa sababu anafahamu West Afrika ndiko kwenye biashara ya muziki kwa Afrika hii!!! Jide awe Team Kiba, Team Davido au Team yoyote ile, haina effect kwa Diamond hata kidogo!!! Kwanza kwa hili atakayeneemeka sio Ali Kiba bali Jide mwenyewe... in short, anataka kumtumia Ali Kiba kwa kuwa anafahamu Kiba ana mashabiki wa kutosha, sema tu sumu yao ukiwarushia buku 2 mbili!!! Sema hapa nimemchokoza Jide, mpwa warumi lazima anitoe macho!
We warumi wewe, mi nakuambia sasa hivi, leo nipo kwenye Sabato kwahiyo sitaki ugomvi!
Hata awe teambestnaso wala hatujaliiii,,,,,safari hiii mtavunja mapera maana nazi zimepanda bei halaaaaa
Sio vita, ni starehe!
We Dina wewe... umesahau mikwara ya warumi... ukimpa za chembe, anatishia atakusemea kwa Msukuma! Kufa hapana, sema inawezekana kama kulikuwa na show "Nyumbani Lounge" basi huenda alichelewa kuondoka akisaidia kurudisha magitaa na kukusanya kusanya vyombo vilivyotumika! Na jinsi alivyo na mahaba, si ajabu kasaidia hadi kuondoa ondoa chupa za maji!!Warumi atakua anaumwa kama sio kufa hajaamini nyumba kukamilika ,hajakaa sawa kitu kimetoka na hadija kopa yaan mpaka namuhurumia daimond kamu over dose aiseeee pole warumi
We Dina wewe... umesahau mikwara ya warumi... ukimpa za chembe, anatishia atakusemea kwa Msukuma! Kufa hapana, sema inawezekana kama kulikuwa na show "Nyumbani Lounge" basi huenda alichelewa kuondoka akisaidia kurudisha magitaa na kukusanya kusanya vyombo vilivyotumika! Na jinsi alivyo na mahaba, si ajabu kasaidia hadi kuondoa ondoa chupa za maji!!
Jide anatia huruma, wasanii wengi wanamuogopa kwa ajili ya clouds, mpaka mwenyewe anasema anatia huruma
Ah, wapi! Kisa Jide kasema yupo Team Kiba? Huyo Mond mwenyewe sidhani kama ana mpango wa kufanya kazi na Jide manake mawazo yake yooooooooote, yame-focus wasanii wakubwa wa West Afrika kwa sababu anafahamu West Afrika ndiko kwenye biashara ya muziki kwa Afrika hii!!! Jide awe Team Kiba, Team Davido au Team yoyote ile, haina effect kwa Diamond hata kidogo!!! Kwanza kwa hili atakayeneemeka sio Ali Kiba bali Jide mwenyewe... in short, anataka kumtumia Ali Kiba kwa kuwa anafahamu Kiba ana mashabiki wa kutosha, sema tu sumu yao ukiwarushia buku 2 mbili!!! Sema hapa nimemchokoza Jide, mpwa warumi lazima anitoe macho!
We warumi wewe, mi nakuambia sasa hivi, leo nipo kwenye Sabato kwahiyo sitaki ugomvi!
Mara baada ya mashabiki kumjia juu Lady Jay Dee kuhusu kutangaza kuwa Team Ali Kiba, ameamua kuandika haya:
Tuache mawazo mgando 👈👈
Hivi mtu kuwa na mapenzi na mtu fulani ni kuchochea beef? ??
👎👎👎👎👎👎👎
Mbona mimi team Yanga na kuna wengine ni team Simba
Mwisho wa siku mechi zikiisha tunakaa tunatia story, tunakula 🍖🍗🍕🍝🍟🍤🍜na kunywa pamoja 🍻🍻🍻🍻 Kwani ukiwa team flani lazma uwe na beef na team nyingine? ??
I don't think so 😥😥😥😥😥
Hivyo basi msinilazimishie wala kunitengenezea beef na mtu ambae sina matatizo nae 🙉🙉🙉🙉🙉🙉
Pia msinichagulie nipende nini, niache nini
Kila mtu ana Uhuru wa kupenda chochote
Mwisho wa siku
Hizi ni burudani sio vita
Mimi ni Team Usher pia haimaanishi nina beef na Chris Brown 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Tuishie hapa
Mwenye kuelewa na aelewe
Cc Ladyjaydeeismyidol
Warumi atakua anaumwa kama sio kufa hajaamini nyumba kukamilika ,hajakaa sawa kitu kimetoka na hadija kopa yaan mpaka namuhurumia daimond kamu over dose aiseeee pole warumi
We Dina wewe... umesahau mikwara ya warumi... ukimpa za chembe, anatishia atakusemea kwa Msukuma! Kufa hapana, sema inawezekana kama kulikuwa na show "Nyumbani Lounge" basi huenda alichelewa kuondoka akisaidia kurudisha magitaa na kukusanya kusanya vyombo vilivyotumika! Na jinsi alivyo na mahaba, si ajabu kasaidia hadi kuondoa ondoa chupa za maji!!
warumi katika ubora wake.Sio umbea tu hata rekodi ziko sawa upstairs.Nakupendaje sasa?Unaposema diamond hana mpango wa kufanya collabo na jide kwa kuwa eti jide sio msanii wa kitaifa unakosea , jide aliwahi kukomba tuzo ya channel O , pia kuna kipindi aliwahi kualikwa kwenye birthday ya mandela uko south africa, na kama hujui tu jide ndio msanii mwenye tuzo nyingi kuliko msanii yeyote, alianza kuchukua tuzo Toka mwaka 2002 mpaka mwaka jana bado anaendelea kuchukua tuzo.
Binam eti nawe umejichagulia jeneza!!
Jide mjanja, ameshaona kujiweka kwenye mabifu kunalipa hasa kama mwenyewe umesanda! Mwaka jana ile cjui mwaka juzi, akiwa kati kati ya bifu na Mwana-FA na Clouds, akajiegemeza kwa Sugu... kwa mara ya kwanza katika historia ya muziki wa Tanzania, Jide akawa anaitwa Kamanda... wenye akili zao wakajiuliza, huu ukamanda wa Jide umeanza lini... lakini kila mmoja anafahamu ile kujiegemeza na Sugu ili-boost sana show yake!!!
Hivi sasa, Jide anafahamu fika kwamba ni wasanii wawili ambao wana mashabiki wa kutosha kwahiyo anajua fika kwamba akijiegemeza kwa Kiba, atapata mashabiki wa kutosha kutoka kwa Kiba!
Lakini kama alivyosema eselungwi, kwa msanii mkubwa kama Jide, ingawaje ana haki hiyo lakini hakutakiwa kuonesha kuwa upande fulani coz' yeye ni icon ya muziki wa Tanzania! Mwana-FA alipomshirikisha Kiba kwenye wimbo wake, kuna mwandishi mmoja alimuuliza swali la uchokozi but the guy was too smart alipojibu lile swali ambalo am sure mwandishi hakupenda jibu la mwana-FA coz' wengi wao wanauliza maswali ya kuchochea zaidi kama ambavyo Sam Misago alipowahi kumuuliza Shetta ikiwa ana mpango wa kufanya kazi na Ali Kiba! Hili lilikuwa ni swali la uchochezi coz' Misago anafahamu fika kwamba Shetta yupo karibu na Diamond! Profesa J vilevile alipomshirikisha Diamond, nae aliulizwa swali la uchochezi, lakini utu uzima nao dawa, Profesa akajibu kibusara ya kutotaka kuonesha ana-support upande wowote.
Kwani hapa haongelei ushabiki? Tatizo mnapenda kupangia watu wampende nani.Hatuwezi kufanana.
warumi katika ubora wake.Sio umbea tu hata rekodi ziko sawa upstairs.Nakupendaje sasa?