Lady jaydee afunguka kuhusu Band yake na mgahawa

Kwendeni zenu jay de alihit kwasababu Mungu alitaka ahit.. na huyu dada anakipaji.. na piaaaa wanaume tupo wengi, kinoma.. atapata mwingine.. maza fantaz!!
 
mkuu jide ni malaya in nature,mguu aka the advocate analamba ile mbunye kama ya kwake,mpaka leo wapo pamoja na ndio anampa jide jeuri ya pesa

Mhhh!!! Hii nayo ndo naisikia ngoja nijaribu kufukunyua
 
Labda mi macho yangu yana makengeza hivi Jide anaweza kukutega ukapagawa kabisaaaaaa! Huyu Garder mdwanzi tuuu anapenda Umarioooo ndo mana akaenda kwa jide mi hata Jide akae uchi siwezi kumuacha wife labda awe kibungo kuliko Jide.Smh

Maneno huleta laana
 
Jide namkubali sana. Huu ni upepo tu.....

Alikua juu hata kabla ya kuwa na Gadina. Na ataendelea hata bila yake
 

Uliwapima DNA kuhakikisha huyo mtoto ni wa Gardner??????? Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa kiza!!!!!
 
mwenzenu alishemaliza kulia yaani no longer bint machozi nyie ongeeni mkimaliza komando yuko pale pale
 
Take nothing from her talent and music and actually i like her hata kwa mitandao ya jamii na mfollow jide but dada-etu hazai kweli kuna mwanaume atakubali???? alitakiwa awe mmpole tu maana Gardner had to keep up with that reality all that long...........
hapana hata kama ni hela lazima nikutafutie msaidiz i think garder amekua muungwana enough!!!
 

Bona una uhakika gani kuwa hazia na si mume wake? mume kuwa na mtoto si issue. nilishawahi kusikia habari ya kweli kabisa ya mwanaume aliyekuwa hazai lakini akawa anamwandama mkewake, mke akaamua kutembea na rafiki wa mume wake akazaa mpaka watoto watatu bila mume kujua kama yeye ndiye mwenye tatizo. Hilo ni moja lakini pili kutokuzaa kwa mwanamke si sababu ya kuvunjika kwa ndoa.
 

hapo kwa red, there is no such a marriage if there are no childrens at least 1, mshkaj ana mtoto tayar so ni jide ndo ana matatizo, wasingeachana kama jide angekubali ukweli kua hazai na mume anaitaj mtoto in the end sio wimbo wa kusema mungu ndo anajua is against human nature in the end mtu anafanya maamuz ya kibinadam!!

i am sure jide ameshajaribu all possible means kuzaa but it didnt work, its ok she can just live her life accepting hawez kuzaa and she will be happhy and i bet aiskubali kuolewa tena kwan hakuna mwanaume atakayekubali akae nae bila kuzaa na akipatikana aliyekubali surely ni wale mariooooooo na in the end atakuja kulia!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…