Lady Jaydee ajichagulia jeneza la pili

Akikufa sisi mabaharia tutapuliza sigara ya Bob Marley kwa sana, kumuenzi mwanachama mwenzetu.
 
Akikufa sisi mabaharia tutapuliza sigara ya Bob Marley kwa sana, kumuenzi mwanachama mwenzetu.
[emoji3][emoji3][emoji3]kuuumbee .,..mama kumbele...[emoji3]
 
Majeneza mawili kwa hiyo akishakufa ndio atachagua moja wapo?.

Na hapo aombe asipotee na Ndege kama ile ya Indonesia maana yatakosa kazi.
 
 
Majeneza mawili kwa hiyo akishakufa ndio atachagua moja wapo?.

Na hapo aombe asipotee na Ndege kama ile ya Indonesia maana yatakosa kazi.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Duhh... Wacha tusubiri.
 
Mbona kwenye ukurasa wake wa Instagram hakuna hii habari?
 
Mbona kwenye ukurasa wake wa Instagram hakuna hii habari?
Hebu soma habari yote vizuri.. Usichangie kwa heading tuu.. Hii si habari mpya ni ya kitambo
 
Sasa si akalichonge au kununua kabisa na alihifadhi mahali...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…