Naam..!
Upo trainer? Aisee nitumie basi antiperspirant moja mazee. Kikwapa noma kweli.
Ngoja nisikuulize machungu ila kubali yaishe bwana. Team anaconda imeshinda.
Hahaha nipo trainee. Umekuwa mvivu sana wewe siku hizi. Na upunguze kula mi KFC.
Upo trainer? Aisee nitumie basi antiperspirant moja mazee. Kikwapa noma kweli.
Ngoja nisikuulize machungu ila kubali yaishe bwana. Team anaconda imeshinda.
habari, bado mnapambana angalia ban tu...
Hayo ya kuhangaika ni maruweruwe yako tu. Sina shida yoyote mimi sasa nihangaike na nini? Wewe labda ndiye unayehangaika na maisha yako na hivyo unadhani labda na wengine pia wanahangaika kama wewe. Hiyo kwenye saikolojia tunaiita 'projection'. Google it.