Lady jaydee: Am no longer binti machozi,niite commando au anaconda..

Lady jaydee: Am no longer binti machozi,niite commando au anaconda..

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Kupitia kwenye kipindi chake cha DIARY YA LADY JAY DEE, judith wambura mbibo(lady jaydee) miezi michache iliyopita aliwahi kusikika akisema "Am no longer binti machozi(mimi sio tena binti machozi),niite commando au anaconda". wengi hawakumuelewa alikuwa ana maana gani,wengi walijua ni swagg tu,lakini ivi karibuni ameweza kuthibitisha kauli hiyo kwa matendo,kuwa yeye siyo mtu wa kumchezea tena kama ilivyokuwa zamani(no longer binti machozi). Kama unabisha jaribu kuingia kichwa kichwa kama hujamezwa, waulize mzee wa fursa,mwana fa na january makamba wanamjua vizuri huyu malkia wa bongo fleva. Huu ndio ujio mpya wa lady jaydee a.k.a Anaconda..
 
Kapotelea wapi huyu Mmama..!??
 
Ivi mtoa post yupo wapi siku hizi mbona sioni posts na koment zake kama zamani.??

New broom sweeps well but old one knows every corner!!
 
Back
Top Bottom