Ni nani anapiga honi si angepaki kimya kimya...
Mwambie aache kelele nimesema mtu mzima...
Hapa ni kimya kimyaa iwe Lexus au Bima...
Mbona huwa haawasemi hata Pamba wanaazima?...
Ni nani anapiga honi si angepaki kimya kimya...
Mwambie aache kelele nimesema mtu mzima...
Hapa ni kimya kimyaa iwe Lexus au Bima...
Mbona huwa haawasemi hata Pamba wanaazima?...
Mmeamini kama huyo dada yenu sijui ANACONDA HUWA ANANUNUA KESI?SASA KISA CHA KUMUITA MWANAUME MWANAFATUMA NI NININI? AMA KWELI STRESS ZINA MAMBO!
Ndio maana hazai
Ninavyomfahamu FA, hawezi kuja kujibu upumbavu huo wa JD.
Kitu kimoja ambacho FA hua
niitupilie mbali elimu yake ni kukubali kutumiwa!! Yupo tayari kusariti
wenzie kwa chenji kidogo tu, awe neutral Kama AY, Ruge anamyumbisha Sana
FA, amtumia kwenye ile studio sasa anamuweka kati beef la Ruge na
Jide,, mliokaribu nae mpeni ushauri,