Lady Jaydee amjibu Ruge, asema kuna watu wamefuta chorus yake kwenye nyimbo zao

jide anajikomba sasa ameanza kuwa mpole
Sio anajikomba ila wameyamaliza kiutu uzima tena out of media ila kwasasa ndo wanayaleta kwenye media
Ila nijuavyo beef huwa haziishagi ila zinapunguzwa makali tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…