Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
honestly kabisa unataka uniambie kwamba haya mambo hayapo sasa Dar esaaam hii,Tanzania hii??//kabisaaaaaaaa??
Lady jaydee akianza kushughulikiwa kwa kumu wish freeman mbowe au kama nyie wana ccm mnavyomuita adui wa taifa msianze kumcheka,maana hiyo salaamu tu kuna watu wamevimba huko ingawa kanisani jumapili tutawaona wamepiga magoti na kunyenyekea huku wengine wakilia kabisa.Urafiki upo wa aina mbili kuna urafiki wa muda (kwa ajili ya manufaa yako muda huo) na urafiki wa kudumu/milele (huu huwa haujalishi mtu yuko wapi na anacho au hana ila bado mnazidi kushikamana)
Jay De huwenda ni rafiki wa kudumu kwa FM ila hao mnaowalazimisha na wao wawe kama LJ mnajua urafiki wao na FM au unajua kama ni wanafiki kwake?
HahahahaHuna hoja mbali na matusi ya mama yako hayo aliyokufundisha wakati anaanda chakula cha mmewe wa kando.
Kungekuwa Hakuna Amani Wewe ungepata Muda wa ku quote comment yangu?
Utajuaje thamani ya amani wakati hujawahi kuamka Asubuhi ukakuta Maiti ya Baba yako mlangoni, hujawahi kwenda kazini unarudi unakuta Mama Yako kabakwa, Ndugu zako wamelipuliwa Na vilipuzi
kweli walahi???Hahahaha
Alafu birthday ya Freeman Mbowe ni 14th of September jamani ehhh
Alizaliwa 9 December.Hahahaha
Alafu birthday ya Freeman Mbowe ni 14th of September jamani ehhh
Lady jaydee akianza kushughulikiwa kwa kumu wish freeman mbowe au kama nyie wana ccm mnavyomuita adui wa taifa msianze kumcheka,maana hiyo salaamu tu kuna watu wamevimba huko ingawa kanisani jumapili tutawaona wamepiga magoti na kunyenyekea huku wengine wakilia kabisa.
NO WAYAlizaliwa 9 December.
NO WAY
uwongo mtupu walahi
Hata ukimuuliza mwenyewe atakwambia
Hiyo ya tarehe 9 December ni uwongo wa hali ya juu
eh walahi basi muongezeeeni kwenye hati ya mashtaka walahi,kumbe muongo namna ile walahiii?yaani alifyataua risasi iliyomuua akwelina halafu kadanganya kuhusu tisa december walahi?NO WAY
uwongo mtupu walahi
Hata ukimuuliza mwenyewe atakwambia
Hiyo ya tarehe 9 December ni uwongo wa hali ya juu
Jiheshimu wewe we kijana
Amani kuharibika haitokei siku moja its a process, mmeshaanza kuharibu amani siku nyingi .hayo uliyaorodhesha hapo juu ni matokeo ya kutokuwa na amani sasa ndugu yangu akili yako imeganda?
Acheni kuandaa watu kuwa magaidi wa baadae
Umayoyaona Somalia leo hayakuzuka kwa siku moja...
mzee ushatia na siasa kwenye maamuzi ya mtu [emoji16][emoji16][emoji16]Lady jaydee akianza kushughulikiwa kwa kumu wish freeman mbowe au kama nyie wana ccm mnavyomuita adui wa taifa msianze kumcheka,maana hiyo salaamu tu kuna watu wamevimba huko ingawa kanisani jumapili tutawaona wamepiga magoti na kunyenyekea huku wengine wakilia kabisa.
Amani ni hali ya raha na salama....Watanzania majority wana raha???wako salama?? wakati maiti zinaokotwa Coco beach.....mwanamke anajifungua kituo cha polisi kisa mume wake fundi seremala kadhulumu kitanda..list ndefu sitaki kurudiaKungekuwa Hakuna Amani Wewe ungepata Muda wa ku quote comment yangu?
Utajuaje thamani ya amani wakati hujawahi kuamka Asubuhi ukakuta Maiti ya Baba yako mlangoni, hujawahi kwenda kazini unarudi unakuta Mama Yako kabakwa, Ndugu zako wamelipuliwa Na vilipuzi
Hayo Ni Matukio ya kihalifu Na Dunia nzima yapoAmani ni hali ya raha na salama....Watanzania majority wana raha???wako salama?? wakati maiti zinaokotwa Coco beach.....mwanamke anajifungua kituo cha polisi kisa mume wake fundi seremala kadhulumu kitanda..list ndefu sitaki kurudia
Siasa zimetuadhiri sana, kila kitu mtu ana kirelate na siasa. Kuna mambo mengine tu ya kawaida na sidhani hata kama huyo Mbowe kamaindi kutowishiwa Bday, mbona wengi ambao hawakumuwish, hawakumuwish bday pia JPM. Hata mimi mambo ya Bday yanipite pembeni tu sina mtindo wa kuwish watu BdaySipendi kushangilia matatizo ya mwenzangu ila hakuna mtu amelazimishwa kumtakia Mbowe kheri ya siku yake ya kuzaliwa.
Good uko kama mimi, juzi mpenzi wangu alikuwa na bday sikuhangaika hata kumwambia chochote.Siasa zimetuadhiri sana, kila kitu mtu ana kirelate na siasa. Kuna mambo mengine tu ya kawaida na sidhani hata kama huyo Mbowe kamaindi kutowishiwa Bday, mbona wengi ambao hawakumuwish, hawakumuwish bday pia JPM. Hata mimi mambo ya Bday yanipite pembeni tu sina mtindo wa kuwish watu Bday
Umeona mkuu, mimi hata Bday yangu uwa naisahau naweza kumbuka after a day au mtu aniwish akikumbuka, kitambo kipindi niko fb ndo ilikuwa inanikumbusha kwa zile notification zao.Good uko kama mimi, juzi mpenzi wangu alikuwa na bday sikuhangaika hata kumwambia chochote.
Mwanangu pia hivyohivyo, sioni maana yoyote ya kufanya hivyo.
Umeona mkuu, mimi hata Bday yangu uwa naisahau naweza kumbuka after a day au mtu aniwish akikumbuka, kitambo kipindi niko fb ndo ilikuwa inanikumbusha kwa zile notification zao.