Aaaa unajua watu domo kawakaa mdomoniii mnooo
Hongera kwa kupata tuzo, ila hakikosa msianze kusingizia watu mara Clouds, Oh Diamond. Msanii akifanya vizuri anastahili pongezi , Jaydee anatakiwa apunguze kiburi kwa vyombo vya habari ,lasivyo naliona anguko lake .Nimepitia blog nyingi naona wanaelezea Dia kutwaa tuzo za AFRIMMA lakini Jaydee hawamsemi WHY??? ajitahidi kurekebisha ktk tasnia ya habari .
Jide ameshazoea kubeba tuzo,acha washamba watambe,,ooh kakutana na Akina Nelly sijui wamepiga picha.....ivi safari hii hajapiga mapicha na mastaa jamani???????
Team ndomo ushamba unawasumbua mno ,jide team yake inajielewa haina mbwe mbwe yeye ni kazi na hata hiyo tuzo hana mda nayo , ndomo sasa anavyohangaika ila atazoea tu kama jide had atachoka ata kuudhuria hizo tuzo kama Dada jide , maana kupokea tuzo toka 2001 had 2014 si mchezo binamu na inachosha sana ndo maana jde anapotezea kachoka sana wamuache
Mkuu wewe wa wapi??? domo kaya analipa pesa ili apigiwe promo...Naskia akija watu wataunga foleni kudaka ila Jide hana huo upuuzi!!!
Habar ni jide kushinda tuzo ya afrimma binamu , vp hujambo
Habar ni jide kushinda tuzo ya afrimma binamu , vp hujambo
Kama kupata tuzo tungekuwa tunafanya sherehe bas team anaconda tungevunja rekodi maana toka 2001 had Jana si mchezo , huyo ndomo tuzo kaanza kupat 2010 sasa wanatak kumfananisha na komando jide si matusi hayo?
Binamu nilianza kumsikia jide wakati ule wa kifo cha mwalimu Nyerere akiwa na Fina Mango kwenye ule wimbo wao wa maombelezo,wakati huo clouds clouds kweli .
Mkuu wewe wa wapi??? domo kaya analipa pesa ili apigiwe promo...Naskia akija watu wataunga foleni kudaka ila Jide hana huo upuuzi!!!
Hata Diamond anaweza kufikia rekodi ya Jide kama akiendelea kuwa na akili nzuri maana hawa vijana hawatabiriki. Na kumlinganisha Jide na Dim kwa kiwango cha tuzo si sawa sababu Dai kwenge gemu hajafikisha miaka hata 10 wakati Jide ana more than 13yrs.
ushamba tu hv angepata MAMA ingekuaje?!maana hzo zenyewe hazijulikani
Hata Diamond anaweza kufikia rekodi ya Jide kama akiendelea kuwa na akili nzuri maana hawa vijana hawatabiriki. Na kumlinganisha Jide na Dim kwa kiwango cha tuzo si sawa sababu Dai kwenge gemu hajafikisha miaka hata 10 wakati Jide ana more than 13yrs.
Imethibitishwa kuwa mwamuziki LADY JAYDEE ndiye msanii pekee nchini( kwa wasanii wa kike na wakiume) anayeongoza kumiliki tuzo nyingi zaidi ndani na nje ya nchi.
AWARDS WON-2001 to 2014
2001- M-nets where u @ best female artist in Tanzania
2002- Tanzania music awards-best female artist,best video of the year "machozi"
2003- channel 0 music video awards-best video in east Africa "machozi"
-2003- Tanzania youth achievement award for the Best r n b single "usiuseme moyo"
2004- awarded best r n b album at Tanzania music awards
2005- channel 0 music video awards best collaboration African video "makini "
2005- Chanel 0 video awards- best video in east Africa " distance"
2005- BBC radio awards song of the year "distance"
2006- best female artist from Tanzania at the Uganda pearl of Africa music awards
2007- best female artist from Tanzania from Tanzania at Uganda pearl of Africa music awards
2008- best female artist from Tanzania at Uganda pearl of Africa music awards
2009-Kenya kisima music awads- song of the year "Anitha"
2009- Tanzania music awards - song of the year "Anitha"
2010- Best female artist from Tanzania at Uganda pearl of Africa music awards
2010- Tanzania kil awards- best female artist of the year
2011- best female artist from Tanzania at Uganda pearl of Africa music awards
2011- Tanzania music awards - female artist of the year
2011- Uganda Divas awards - best female artist from Tanzania
2011- Tanzania music Awards - best east African song " Nitafanya with Kidum
2012 - Tanzania kili music awards best female vocalist
2013- Tanzania music awards - female artist of the year
2014- Tanzania music awards - best female Artist of the year
2014 - Tuzo za watu- msanii Wa kike anayependwa zaidi
2014- Best female artist from Tanzania at AFRIMMA awards.
WRITTEN AND PREPARED BY warumi-TEAM ANACONDA.
Sisi hatunaga maneno mengi wala kelele , apa ni kazi tu na hatuwezi kuwa na ulimbukeni Wa kupiga kelele ovyo mitandaoni kwa kuwa tuna uzoefu Wa kutosha Wa kupokea tuzo ndani na nje ya nchi tokea mwanzon mwaka 2001 mpaka Jana kwenye AFRIMMA AWARDS.
TEAM ANACONDA IS LEADING OTHERS FOLLOW.
Nitafurahi sana kama wanamuziki Wa kibongo wakiacha kujipendekeza kutwa nchi za watu kuomba collabo, kwa nini wasanii wenyew Wa nje wasiwafuate nyie watake kufanya collabo? Kila siku nyie tu? Hawajiulizi tatizo ni nini had hakuna hata msanii Wa nje anayetaman kuwashirikisha?
Yani mtu uwi maarufu had uimbe na iyanya? Utumwa gani huo ? Wabongo waache nidhan ya uoga na kutokujiamin, kwan ndomo hawez kufanya collabo na Kiba ika hit Africa nzima had kupata tuzo za MTV au bet had waimbe na akina Davido? Bhas kazi wanayo mwaka huu , wajitahid tu kujiongeza watafika mdogo mdogo
Congratulation Jide we kweli mwanamke wa kishoka i like your spirit keep it up sister unajitambua na kuonyesha u strong wako since 2001 hongera zake kaza but wewe ni iron lady miaka elfu kumi