Nitafurahi sana kama wanamuziki Wa kibongo wakiacha kujipendekeza kutwa nchi za watu kuomba collabo, kwa nini wasanii wenyew Wa nje wasiwafuate nyie watake kufanya collabo? Kila siku nyie tu? Hawajiulizi tatizo ni nini had hakuna hata msanii Wa nje anayetaman kuwashirikisha?
Yani mtu uwi maarufu had uimbe na iyanya? Utumwa gani huo ? Wabongo waache nidhan ya uoga na kutokujiamin, kwan ndomo hawez kufanya collabo na Kiba ika hit Africa nzima had kupata tuzo za MTV au bet had waimbe na akina Davido? Bhas kazi wanayo mwaka huu , wajitahid tu kujiongeza watafika mdogo mdogo
Kufanya collabo na wasanii wa nje sio vibaya hiyo ni mojawapo ya njia ya kupanua soko la music. Afanye na Kiba wakati watu wenyewe hawaishi kupigana majungu.Dia anastahili pongezi binamu tumpongeze tu kama tunavyompongeza Jide. Halafu Jide anavyojishau haendi kuchukua tuzo KILL kumbe 'Sizitaki mbichi hizi''.